absalom kibanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Mwigulu Nchemba ni mtuhumiwa wa kwanza kutekwa kwa Absalom Kibanda

    Wanajamvi niwasalimu kwanza. Ni hivi karibuni tumeshughudia kutekwa na kuumizwa kwa mwenyekiti wa jukwaa la wahariri ndugu yetu Absalomu Kibanda. Kutekwa huku kwa Kibanda na kuumizwa hakutofautiani sana na kule kuteswa kwa mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari ndugu yetu Stephen Ulimboka. Leo...
  2. R.B

    Seditious case facing Absalom Kibanda, others postponed

    Absalom Kibanda The Kisutu Resident Magistrates Court yesterday adjourned the hearing of a sedition case facing Mwananchi Communications Limited (MCL) Group Managing Editor, Theophil Makunga, former Tanzania Daima Managing Editor, Absalom Kibanda and columnist, Samson Mwigamba to April 29...
  3. R.B

    Absalom Kibanda ni Nani?

    KUTEKWA KWA KIBANDA Kibanda ni Nani? Mwanahabari, Mnyakyusa, na Mkristo NIANZE kwa kuomboleza msiba wa jicho moja la Absalom Kibanda. Jicho hilo lilijeruhiwa na watu wabaya usiku alipotekwa na kupigwa na watu hao. Tumejulishwa kuwa madaktari wanne walijitahidi sana kuokoa jicho...
  4. R.B

    Kikwete visits TEF chairman Mr Absalom Kibanda in South Africa

    Kikwete visits TEF chairman in South Africa President Jakaya Kikwete has visited in hospital the chairman of Tanzania Editors' Forum (TEF) and Managing Editor of New Habari (2006) Corporation, Mr Absalom Kibanda (47), who is admitted to one South African hospital undergoing treatment after...
  5. S

    Absalom Kibanda awe wa mwisho kutembelewa na viongozi endapo hatua hazitachukuliwa kwa wahusika waliomteka

    Watanzania tusikubali kufanywa wajinga. Haingii akilini kwa viongozi wa serikali kuonyesha moyo wa upendo kwa kutembelea wahanga wa vitendo vya "kimafya" kama mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda leo huko Afrika kusini ambapo raisi amemtembelea lakini mwisho wa siku hakuna...
  6. akilimtindi

    Mateso ya Absalom Kibanda yasitutishe, yatutie nguvu za kupambana kwa umakini zaidi

    Ndugu zanguni Wana-JF, nawapeni pole sana kwa majanga yanayowaandama wapenda haki wa nchi hii na wale wote wanaofanya bidii kuuweka uovu wa nchi hii wazi mbele ya wale wasiojua kinachoendelea. Binafsi napenda kutoa pole kwa familia ya Kibanda pamoja na familia za wengine wote waliowahi kuumizwa...
  7. Tina

    Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

    Mwanahabari Absalom Kibanda TAARIFA ZA AWALI Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya New Habari wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Dimba, Bingwa na Dimba, Absalom Kibanda amevamiwa na watu wasiojulikana akiwa ndani ya gari lake wakati...
  8. Ex Spy

    Tanzania's Press Freedom ranking falls after journo killings

    By Elisha Magolanga The Citizen Correspondent Press freedom has shrunk considerably in Tanzania, with journalists and media houses finding it more difficult to do their work, according to the 2013 World Press Freedom Index. The country has dropped 36 places and is now ranked at number 70 of...
  9. Jolebatawi

    Absalom Kibanda, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima alishatimka?

    Wadau kulikuwa na tetesi kuwa huyu jamaa anahamia new Habari Corporation kwa RA kuanzia tarehe 1.12.2012, na ushahidi wa hili ni alipoanza kuandika makala ndani ya gazeti la Tanzania Daima (m4c kama nape anavyoliita) kwa kuanza kujikomba kwa magamba kama makala yake ya namuogopa kinana,mara...
  10. WOWOWO

    Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

    Great Thinkers, Baada ya kuisoma makala hii ya Absalom Kibanda Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, nimejikuta napata mashaka sana na zaidi kupoteza imani na uzalendo wake. Pia nimejikuta nikiamini maneno niliyokuwa nikiyapata kijiweni kwamba Kibanda ni mmoja wa beneficieries wa Ufisadi kutoka...
  11. Zak Malang

    Absalom Kibanda akamatwa!

    Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam. =============== UPDATES Habari zilizonaswa sasa hivi kutoka makao makuu ya polisi Dar zinasema Mhariri wa Tz Daima...
  12. K

    Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

    Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri nchini Bw Absolom Kibanda ametoa matamshi makali dhidi ya Samwel Sitta kwa kumwambia kuwa yeye (Sitta) si mpambanaji kama anavyojifanya lakini kali ya yote amemwambia kwasasa hana muda wa kupoteza...
  13. Rev. Kishoka

    Mahojiano ya Absalom Kibanda na January Makamba

    MAHOJIANO YA JANUARY MAKAMBA NA JARIDA LA UMOJA 1. Umekuwa msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Kikwete tangu akiwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa hadi hivi sasa, ni mambo gani hasa umejifunza kutoka kwake? Nimejifunza mambo mengi sana kiasi kwamba ni si rahisi...
Back
Top Bottom