abdulrahaman kinana

Abdulrahaman Kinana (more commonly spelled Abdulrahman Kinana or Abdulrahman Omari Kinana) is a veteran Tanzanian politician, long-time member of the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), and a key figure in East African regional politics.

Born in October 1951 in Arusha (of Somali descent), he is widely regarded as one of CCM's most experienced strategists and "kingmakers," with a career spanning military, diplomatic, and party leadership roles.Major Roles and Career Highlights
  • Served as Tanzania's Foreign Minister and Defense Minister under President Ali Hassan Mwinyi (as a retired colonel).

  • First Speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) from 2001 to 2006, helping establish the body for the revived East African Community.

  • Secretary General of CCM from 2012 to 2018 (resigned in 2018 during President John Magufuli's tenure).

  • Appointed Vice Chairperson (Mainland Tanzania) of CCM in April 2022 (succeeding Philip Mangula), a position he held until his resignation in July 2024.

  • His resignation was accepted by CCM Chairperson and President Samia Suluhu Hassan; it came amid reports of internal party tensions ahead of the 2025 elections. CCM later selected a successor in January 2025 during a national meeting in Dodoma.

  • He has been involved in high-level diplomacy, party mobilization, and defending CCM against opposition criticism (e.g., in speeches addressing Chadema on issues like constitutional reforms, election laws, and unity in the Union).
Public Perception and Context
  • Described in profiles as a formidable political operator with deep influence in CCM's internal dynamics and East African affairs.
  • In recent years (2024–2026), he appeared in media defending CCM policies, engaging in inter-party dialogues (e.g., on reconciliation or constitutional matters), and meeting diplomats (e.g., UK and Ugandan ambassadors).
  • Post-resignation, he remains a respected elder statesman in CCM circles, occasionally referenced in discussions about party history, leadership transitions, and regional integration.
  1. figganigga

    Abdulrahman Kinana: Kila chama kung'ang'ania Maslahi yake ndo sababu ya Kukwama kwa Katiba Mpya

    Lakini moja ambalo lazima tukiri lilisaidia kukwamisha jambo hili (mchakato wa katiba), ni kwa kila chama kung'ang'ania maslahi yake. Nadhani huo ndiyo ukweli lazima tuseme - Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana. Watu wanakuja na mapendekezo, chama kimoja kinasema ndiyo, kimoja...
  2. Etwege

    CCM ya Awamu ya Tano ilisamehe wengi akiwemo Kinana

    CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo watanzania tu mbali iliongoza pia kwenye kutoa misamaha ya dhati kwa wanachama wake waliofanya makosa mbalimbali kwenye chama kipindi hicho. Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu...
  3. Magazetini

    Yaliyojiri Mkutano Mkuu Maalum wa CCM. Kinana apita kwa kura zote 1,875 zilizopigwa

    Leo ni mkutano mkuu maalum wa chama cha mapinduzi ambao pia utaenda kupitisha mabadiliko ya katiba ya CCM. Kwasasa anaongea katibu mstaafu wa CCM, Yusuph Makamba ambae anasema mchungaji Gwajima alimuuliza yeye kama mtabiri, anatabiri nini kwenye utawala wa mama Samia baada ya kutabiri ubatizo wa...
  4. GENTAMYCINE

    Kwa kichwa cha habari cha gazeti la MWANANCHI la leo Aprili 1, 2022 unajifunza na kugundua nini?

    Kinasema... 'Wamerudi Aiseeee" Tafadhali wale Wabobezi na Wanazuoni wa Lugha adhimu ya Kiswahili tunaomba mje hapa mtuelimisha maana na dhana pana na Neno 'Wamerudi' halafu hapo hapo tena Mtu anasema Neno 'Aiseeee' katika kumalizia. Karibuni.
  5. U

    Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

    Wazalendo Wote Nchini Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu. Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama Hata hivyo pamoja na ukweli huo...
  6. Shujaa Mwendazake

    Nape Nnauye uliweza kumuangukia Hayati Magufuli; ni wakati wa kumuangukia Mungu na Mzee Lowassa kwa laana hii

    Tunaoweka kumbukumbu sawa kwenye hii Video. Tunakumbuka hizi kauli zikitoka timu ya kampeni ya Hayati JPM, zikiongozwa na Nape Moses Nnauye na Abdulrahman Kinana chini ya mwamvuli wa Afya na uhai wa Rais atakayekuwa madarakani. Sihitaji kujua kama Msajili wa vyama vya siasa alikuwapo ama lah...
  7. M

    Wazee wetu nguli wa Siasa Mzee Kinana na Mzee Makamba kurudi kwenye chati na kuendelea kuheshimika?

    Wadau mtakumbuka jinsi wazee wetu hawa walivyodhalilishwa na watu walio wachanga sana kisiasa hapa nchini, dharau hizo zilizidi hasa katika Serikali ya awamu ya tano. Je, sasa si wakati wa wazee wetu hawa kurudia kuheshimika kutokana na hazina yao ya kisiasa hapa Tanzania? Karibuni kuchangia...
  8. J

    Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

    Habari wanajamvi! Sijaamini maneno ya msemaji wa chama cha Mapinduzi labda nitaaminishwa baadae. Kwa maneno yake Katibu mwenezi anasema ni kweli mwanasiasa nguli na Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi comrade Alhajji Abdulrahman Kinana alikuwa anaumwa, na alipelekwa nje ya Nchi kwaajili ya...
Back
Top Bottom