Abdulrahaman Kinana (more commonly spelled Abdulrahman Kinana or Abdulrahman Omari Kinana) is a veteran Tanzanian politician, long-time member of the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), and a key figure in East African regional politics.
Born in October 1951 in Arusha (of Somali descent), he is widely regarded as one of CCM's most experienced strategists and "kingmakers," with a career spanning military, diplomatic, and party leadership roles.Major Roles and Career Highlights
Served as Tanzania's Foreign Minister and Defense Minister under President Ali Hassan Mwinyi (as a retired colonel).
First Speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) from 2001 to 2006, helping establish the body for the revived East African Community.
Secretary General of CCM from 2012 to 2018 (resigned in 2018 during President John Magufuli's tenure).
Appointed Vice Chairperson (Mainland Tanzania) of CCM in April 2022 (succeeding Philip Mangula), a position he held until his resignation in July 2024.
His resignation was accepted by CCM Chairperson and President Samia Suluhu Hassan; it came amid reports of internal party tensions ahead of the 2025 elections. CCM later selected a successor in January 2025 during a national meeting in Dodoma.
He has been involved in high-level diplomacy, party mobilization, and defending CCM against opposition criticism (e.g., in speeches addressing Chadema on issues like constitutional reforms, election laws, and unity in the Union).
Public Perception and Context
Described in profiles as a formidable political operator with deep influence in CCM's internal dynamics and East African affairs.
In recent years (2024–2026), he appeared in media defending CCM policies, engaging in inter-party dialogues (e.g., on reconciliation or constitutional matters), and meeting diplomats (e.g., UK and Ugandan ambassadors).
Post-resignation, he remains a respected elder statesman in CCM circles, occasionally referenced in discussions about party history, leadership transitions, and regional integration.
Wakuu,
Haya jamani mliokuwa na kiherehere kuhusu uchaguzi wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM, mna salamu zenu huku kutoka kwa Makalla
Kaeni kwa kutulia
=======================================================
Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kuachana na watu wanaobashiri...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mkutano mkuu wa chama hicho utafanyika kati ya Januari 18 na 19, 2025 jijini Dodoma.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan kutafanyika uchaguzi wa makamu...
abdulrahamankinana
ccm
dodoma
januari
kufanya
maalum
makamu mwenyekiti
mjumbe
mkutano
mkutano mkuu
mkutano mkuu ccm
mkutano mkuu wa ccm
mkuu
rais samia
samia suluhu
tarehe
wajumbe
Tangazo la Uchaguzi wa Mrithi wa Kinana
Tunaeleza kwa furaha kuwa mchakato wa kutafuta mrithi wa Kinana utaanza rasmi mwezi Januari 2025.
Huu ni mchakato muhimu kwa chama chetu, na tunawahimiza wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wana uwezo, nia, na sababu za kugombea nafasi hii...
Kupitia kada wake mwandamizi ndugu Ntobi, CHADEMA imewakaribisha wanaCCM waliotumbuliwa kujiunga na chama chao wapige kazi.
=========
Kupitia ukurasa wake wa X (Zamani Twitter) kada huyo wa CHADEMA ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Shinyanga ameandika "Karibuni CHADEMA tupige kazi"...
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.
Wengi sasa...
Nimekumbuka kuna siku tuliambiwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama mitandaoni. Wakati ule upepo wa matusi ulivuma sana kwa muda mfupi kisha ukazima
Naamini mfumo ulifanyia kazi maelekezo ya mwenye nchi kuona tatizo lipo wapi. Je haiwezekani ripoti imetoka na mapendekezo ya ripoti...
Salaam, Shalom!!
Tangu uhame CHADEMA kwenda CCM umekuwa ukihuburi udikteta wa Mwenyekiti Mbowe kwamba hafuati taratibu nk, nk.
Muda uliokaa CCM nadhani umekwishasoma Katiba, Ilani na Sheria na taratibu za chama na kuzielewa,
Swali: Ndugu Msigwa, kujiuzulu Kwa Makamo Mwenyekiti wa Chama chako...
Kwanini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu?
Na Luqman Maloto
Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara.
Uamuzi kama huo ulikuwa Mei 28, 2018, Kinana...
Ni kweli kwamba katika uongozi wa CCM, vijana wamekuwa wachache ikilinganishwa na wazee. Hata hivyo, uchaguzi wa makamu mwenyekiti mpya wa CCM kijana unaweza kuwa na athari chanya katika kuunganisha na kujenga ushawishi miongoni mwa vijana, hasa kundi la Generation Z.
Baadhi ya faida zinazoweza...
Niimefurahi kujiuzulu Kinana nafasi yake ndani ya chama ili kutunza heshima yake. Kwa nini nimefurahi kwa sababu ni mtu namfahamu tangu tuko vijana shule. Ni mtu mwema na rafiki kwa kila mtu na nisingependa kuona heshima yako ikipotea.
Lazima tukubali ndani ya ccm tuko wanachama wa milango...
Hili ndio jambo nalotamani kuliona kwa sasa ili tuweze ku-balance story na pengine kujua ukweli halisi wa mambo.
Hata hivyo, sitashangaa wakati wote kuanzia sasa barua hiyo ikaanza kusambaa mitandaoni unless barua ya CCM kuhusu Kinana kujiuzulu inasema ukweli.
Binafsi, barua hii ya CCM naiona...
Mzee Kinana
Salaam, shalom!!
Ndani ya chama Cha MAPINDUZI CCM, umewafundisha siasa vijana wengi sana, inawezekana wamefaulu machache kati ya mengi uliyowafundisha,
Somo linalohusu uwajibikaji wa pamoja umelifundisha sana tena Kwa vitendo, imekuwa mjenga HOJA mzuri, umejiuzulu mara kadhaa pale...
Hypocrites politicians
PIA SOMA
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika.
Katika majibu yake Mwenyekiti...
Bada ya kuwaondoa January na Nape kwenye baraza lake la mawaziri, Rais Samia anaweza kufanya mabadiliko zaidi katika serikali na chama tawala kabla ya uchaguzi ujao. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana anaweza kuwa mtu wa juu anayefuata kukihama chama tawala.
Kinana, January na Nape...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesisitiza umuhimu wa kudumisha umoja, mshikamano na ushirikiano baina ya watanzania wote bila kujali dini, kabila wala rangi kwa kuwa ni suala la Kikatiba na msingi wa ubinadamu.
Kinana ametoa ujumbe huo wakati...
Ni aibu kubwa kwa chama kinachojisifia kuwa kinapendwa na wananchi na kupigiwa kura za ushindi katika chaguzi. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana, amekuwa akiwaambia wananchi kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na haki na hakitajirudia kile kilichojitokeza katika uchaguzi wa 2019 na 2020.
Kauli...
Mjadala wa Tume Huru ya Uchaguzi umepamba moto Wakati Sheria imeshapitishwa yaani tunafunga Zizi la ng'ombe Saa 4 asubuhi.
Ingekuwa vema wale walioshuhudia kivumbi Cha Uchaguzi mkuu wa 2015 watujuze CCM ilipaswa kutumia mbinu gani 2019 kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu wa...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.