Msaada, naweza zipata vip kwa mapema, wa zoefu tusaidiana hapa. Thanks.
Thanks @ JOAQUEM, Vip kwa upande wa perfect money, naweza vip kufanye deposit ni kiwa Tz?
Ngoja nikupe uzoefu wangu .Msaada, naweza zipata vip kwa mapema, wa zoefu tusaidiana hapa. Thanks.
kwa nini unahitaji perfect money??
kama si muuza madawa au mtu wa magendo unayehitaji kusafirisha feza nyingi bila serikali kukujua nakushauri hizi njia nyengine kaa mbali nazo, anytime website inakuwa down. na unapoteza kila chako kilichopo kwenye hiyo hazina
Thanks @ JOAQUEM, Vip kwa upande wa perfect money, naweza vip kufanye deposit ni kiwa Tz?
to my suprize. kumbe mambo ya paypal kuomba confirmation code ni kwa afirika tu ? au nchi masikini tu? nimehama nchi, ikanibidi ni terminate paypal TZ. nimefungua paypal account kwa nchi ya ughaibuni. sijaulizwa confirmation code wala nini.
kila nchi paypal ina sera tofauti kumbeeeee
kwani kwa code unaverify paypal account au umiliki halali wa kadi ?unaweza kuwa unatumia hiyo paypal bila shida, swali ni je account yako iko VERIFIED?
Maana njia ya hizo code ndo only way ya ku verify kama card ya bank ni yako au la....
kwani kwa code unaverify paypal account au umiliki halali wa kadi ?
ndio hawana kabisa policy hiyo. uki attach card kazi imeisha
Mkuu, ili niwe na hii paypal ni lazimaniwe na akaunt ya dola au shilingi,,na je kiusalama wa hakiba yangu je nifungue akaunt tofauti kwa ajili ya paypal au nitumie hii ninayoweka akiba yangu,niko na crdb.pamoja
Mkuu kilghe wala haina haja ya kufungua akaunti ya dola , hiihii ya TSH inatosha maana hawa paypal huwa wanafanya conversion ya tsh zako kwenda usd pindi ufanyapo purchasesMkuu, ili niwe na hii paypal ni lazimaniwe na akaunt ya dola au shilingi,,na je kiusalama wa hakiba yangu je nifungue akaunt tofauti kwa ajili ya paypal au nitumie hii ninayoweka akiba yangu,niko na crdb.
Kingine mkuu vitu vidogo kama ipad halali TRA wanatakiwa wachaji asilimia ngap
Sina uzoefu sana maana vitu vyote nilivyonunua TRA hawajawahi nikata chochote isitoshe vitu vya kusomea kama ipad na laptop huwa havina makato yeyote lakini pia namuomba seller au mark mzigo as a giftMkuu, ili niwe na hii paypal ni lazimaniwe na akaunt ya dola au shilingi,,na je kiusalama wa hakiba yangu je nifungue akaunt tofauti kwa ajili ya paypal au nitumie hii ninayoweka akiba yangu,niko na crdb.
Kingine mkuu vitu vidogo kama ipad halali TRA wanatakiwa wachaji asilimia ngap
Mkuu aksante kwa tarifa sahihi.,.nilivoona hujajibu mapema nilipitia crbd wakanipa same info kama zako.Mwaka jana nilinunua gari kama dola 5000,nilitumia hii T/T ila kwa rate za bank na badae niliangalia za mtaani nilipoteza kama laki 3 hivi,sasa hii paypal inalipa kama unatuma hela au wanatoa direct kwenye akaunt yako hivo wanatumia rate za benk?Mkuu kilghe wala haina haja ya kufungua akaunti ya dola , hiihii ya TSH inatosha maana hawa paypal huwa wanafanya conversion ya tsh zako kwenda usd pindi ufanyapo purchases
Kuhusu swala la usalama kwel n vizur kuwa na akaunti special kwa ajili ya manunuzi online lakini kama umejiunga na paypal tayari uko secured vya kutosha maana kaz ya paypal ni kuficha detail za kadi yako ya bank ili zisijulikane na wengine kwa hyo kwa upande wangu ssion kama kuna umuhim wa kuwa na akaunti ingins kama ulishajiunga na paypal