Kama hivyo si uwapigie uwaulize?
Pia nakushauri sana uende usifikirie kula hasara nauli itakupa hata eperience ya interview. Ingawa kazi stage yako wanao qualify huwa wengi ile mbaya.
Tatizo waganda hawaongei kiswahili, Ukianzisha biashara hapo lazma hili likupe tabu maana hata hao wahudumu wenyewe watashindwa kuwasiliana na wapishi ambao wengi wao watakuwa wa TZ.
Ndio maana naipenda JF. Ahsante sana hapa nimesha Print na lunch ya leo naweka kwenye gari kabisaaa tayari kwa kufanya mambo weekend.
Members kama nyinyi mnaotumia muda wenu na resources zenu kutusaidia na kutuelimisha, Allah Awabariki Sana na Mpate zaidi na zaidi maana kupata kwenu ni manufaa...
Tiba ni rahisi sana kijana. Watu wenye matatizo kama yako inatakiwa mfanye kitu kimoja tu. Amka asubuhi alafu ufunge kama tunavyofunga sisi waislam mwezi wa ramadhan.
Ikifika jioni kula vyakula vyote. Ukiona hali haipo mchana anza kuruhusu vyakula vya aina moja tu mchana. Unaweza kuanza kwa...
Last wiki sikupata jibu mapema hivyo sikupika, Ntapika this weekend. Tatizo hivyo viungo vya samaki ni vipi? Ila chakula kinaonekana Simple sana hiki nakiweza kuchemsha tu ntashindwaje. Nitajie hivyo viungo vya samaki ulivyosema unaviweka. Ahsante
Wewe unaongea kama mwarabu. Imani za kizamani hizi siku hizi tunabadilika, Mwanamke sio pambo ndugu yangu. Hivi kuna anayefikiria kama mimi humu kweli.
I'm out
Mkuu umenifumbua macho umenifanya Nifikirie tofauti lakini mimi binafsi nataka japo ajaribu ikionekana majukumu ya kulea familia yanamshinda kwa sababu ana kazi ataacha. Huenda anaweza mudu vyote tu. Just because analea familia haimaanishi kuwa asichakarike. Mwisho wa siku hakuna kitu muhimu...
Biashara yangu na ya baba ni sawa hivyo mama ndio aliyeamua kumuweka karibu na kumfundisha jinsi ya kukabiliana na matatizo yatokanayo na kazi zetu. Mfano naweza nikarudi nyumbani nimenyong'onyea labda gari limeanguka, sometimes madereva nliyowazoea huenda wakafa na ajali au matatizo meeengi...
Unajua toka mimi mdogo hadi leo, baba alikuwa akifanya hivi kwa mama. Na mimi nimekuwa nikijua kuwa hivi ndio maisha yalivyo. Ni kama kautamaduni flani nilikokazoea kukaona nikashauriwa nikaendeleze na wazee.
Nshakaa naye sana nshahubiri weeee mpaka nimechoka. Hobby aliyonayo ni kuangalia Bongo Movie na tamthilia za kizungu. Anaweza akaangalia movie 3 za kibongo kwa siku bila tabu. Nkimuuliza yeye anachotaka utasikia ntakujibu. Ukimng'ang'aniza sana ndio mara nipeleke nikasome masters alafu naishia...
Kujibu tu swali lako,
Watoto anawapenda sana na ndio roho yake. Kuhusu majukumu yake kama mke kusema ukweli nisipate dhambi hana tatizo kwenye hilo na huenda labda ndio maana nimemvumilia miaka yote hii.
Unajua mama yangu ni mtu mzima na hana mawazo kama yangu. Akili ya mama ni kuwa mwanamke nafasi yake ni nyumbani na kulea watoto na mimi simlaumu kwani hiki ndicho kilikuwa kizazi chake ila hajui kuwa maisha siku hizi yamebadilika.
Wengi mmeshauri nisimpe pesa mwisho wa mwezi. Tatizo wazazi...
Hili wazo gumu na kiufupi haliwezekani. Ingawa ukoo wetu umeshika dini, haijawahi tokea ndugu yangu yeyote akaoa zaidi ya mke mmoja. Ntaonekana wa ajabu sana na huenda nkatengwa na kupigwa vita ile mbaya. Wako walio wahi kuoa wakaacha na kuoa tena lakini si kuoa mke zaidi ya mmoja. Hii ni hatua...
Habari zenu ndugu zangu, ahsanteni sana kwa ushauri wenu mzuri. Nimesoma kwa kina ingawa kuna baadhi ya vitu utekelezaji wake kidogo unaweza kuwa mgumu ila ntajitahidi. Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa kila aliyenipa ushauri kwenye hili. Ntajitahidi kujibu hoja za wote ingawa nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.