wadau habari ya mwaka mpya. Nombeni mawazo yenu hapa.
Ninataka kuanzisha chama cha umoja wa wapangaji Dar es Salaam(sina uhakika kama kipo kama kipo basi ni mfu na hakina malengo mathubuti). kwanini nimeamua kufanya hivi? kwa sababu zifuatazo:-
manyanyaso wanayopata wapangaji toka kwa...
kiazimviringo wa lumumba utamuona tu, kwanza sasa hakuna mahakama kuna huru aachiwe asiachiwe yaleyale tu. magu alisema wataishia jela ko hakuna jipya na ni bora waishie jela tu.
huyo ndio mzuri kwa ccm maana mpampiga chini asubuhi bila hata kupiga kampeni kwa hiyo hiyo mni karata yenu sasa ccm. maana kuongea kwa nguvu mpaka unatokwa na haja kubwa bila kujua kisa kumpinga tundulisu huo ni UFWAHILA
JINALAO NA FAIZA FOX Ndio ccm pekee hapa jukwaani wenye akili ko hata mnapokua mnateleza ni jmbo la kibinadamu tu hivyo basi naungana na wewe kwenye ishu ya lowasa, lowasa ni msafi na alizushiwa tu si ndio wajameni, hata dokta Slaa sasa yupo salama kwenye ulingo wa sasa.
dah tumbo baya sana sasa mmekuja na hili, unajua ukomomwa watanzania kumvumilia mtu ni miaka mingapi ? gues what ........ 10 yrs ongezeni na jifunzeni kwa nyerere
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.