BENEFITS PACKAGE
Introduction
The National Health Insurance Fund (NHIF) has an attractive benefits package that is offered to its beneficiaries through accredited health facilities countrywide. This package has a total of eleven (11) benefits that are offered to its beneficiaries as per...
Karibu sana katika semina maalum iliyoandaliwa mahususi katika kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu organo gold...njoo uongee na watu waliofanikiwa ujue biashara hii ina misingi gani ya mafanikio.
Semina hii itafanyika siku ya kesho tarehe 15/07/2015 maeneo ya posta,hakuna kiingilio ..Kwa yeyote...
duuuh hoja zako zimefungwa na fikra za udini ni kama kile kisa cha watu waliopangoni(an allegory of the cave)..Tanzania itadum daima..huu ni urithi na tnu za taifa,uundwaji wa katiba ni frsa ya kutatua mapungufu ya muungano wetu....tusione haya kuunga mkono fikra sahihi za Nyerere na...
wasisahau kuwa kuna watu wana viapo vya kulinda muungano...kwa nini hawa wanasiasa wanashadidia masuala ya madaraka badala ya kubuni sera za kukuza uchumi na kuboresha huduma za jamii? kwa hili la serikali tatu au muungano wa mkataba ni matokeo ya ubinafsi na chuki tu za kihistoria...
Huyu alieandika no mwongo...Mara anasema alipewa dawa ya sindano,baadae anadema kabla ya kuimeza alisoma maelekezo.......msitukane wakunga...........karma mtu kakosea Luna utaratibu wa kudai khaki yako badala ya kutukana madaktari......hivi unajua akina mama wangapi na watoto wanaokolewa name...
Kwa mpango huu Tanzania inaelekea kutokuwa salama teena.Tutaikumbuka kwa uchungu ileee tanzania yenye amani na watu wanaopendana.....ila naamini katika jambo moja,haitofika siku wanadaamu wote wakaamini imani moja bila kutofautiana....hivyo kila mmoja azoee tu kuishi na mwenzake na kuvumiliana...
Hadi sasa hakuna kiongozi yeyote wa chama cha madakri/jumuiya ya madaktari aliyeachia ngazi...huenda Ribosome una ajenda yako,basi kiseme kilichotokea ikulu kama unakijua.Propaganda zako hazitafanikiwa kuvunja umoja wa madaktari.Siasa wapelekee wanasiasa uchwara wenzio.
Taarifa rasmi ni kwamba hadi sasa vikao vya majadiliano kati ya madaktari na team ya serikali bado vinaendelea na taarifa ya majadiliano hayo itatolewa kwa madaktari na wadau wengine muda si mrefu.Ni lazima ieleweke kwamba hakuna vitisho wala kunyamazishwa kwa viongozi wa madktari.
Lengo letu ni...
inasemekana serikali kwa fikra fupi inaandaa kutumia hospitali binafsi za Agakhan,regency.....lugalo na ccbrt kupokea wagonjwa kutoka hospitali za umma zilizokumbwa na mgomo......pamoja na serikali kudhani hili ndio suluhisho inajdanganya kwa sababu zifuatazo.
moja,hospitali binafsi hazina...
TAARIFA YA KAMATI YA MUDA YA KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI KUFUATIA TAMKO LA BUNGE (ILIYOTOLEWA LEO KWENYE VYOMBO VYA HABARI);
Baada ya taarifa ya bunge kuwasilishwa leo ijumaa, kamati ya madaktari inaazimia haya yafuatayo;
• Kamati inalishukuru bunge la jamhuri ya muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.