Search results

  1. K

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    TAFADHALI JAZA HAPA CHINI: 1. Nchi ulipo Ubalozi husika ..................... 2. Jina la Afisa wa Ubalozi aliyepokea fedha kutoka kwa mwarabu ili amkandamize Mtanzania .......... 3. Jina la Mtanzania aliyekandamizwa ........... Nambari ya Pasipoti........... 4. Jina la Mwarabu...
  2. K

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    Mkuu sio Watanzania tu wanaopatwa na hayo matatizo. Mataifa mengine pia. Mataifa mengine hao mawakala ndio wamekuwa sugu na wana nguvu. Hapa kwetu angalau kuna ka utaratibu na ufuatiliaji.
  3. K

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    Wadau, Nimesoma hii habari ya Mtanzania mwenzetu kusukumwa kutoka ghorofani. Inasikitisha lakini pia inaonekana imejaa uzushi na upotoshaji. Nimejaribu kufuatilia. Taarifa zilizopo ni kwamba Waajiri wa marehemu ndio waliotoa taarifa Ubalozini na Polisi. (Kwa maana hiyo, Ubalozi haukupata...
  4. K

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    Wadau, Nimesoma hii habari ya Mtanzania mwenzetu kusukumwa kutoka ghorofani. Inasikitisha lakini pia inaonekana imejaa uzushi na upotoshaji. Nimejaribu kufuatilia. Taarifa zilizopo ni kwamba Waajiri wa marehemu ndio waliotoa taarifa Ubalozini na Polisi. (Kwa maana hiyo, Ubalozi haukupata...
  5. K

    Kasi ya Rais Magufuli: Nani aliyewashauri Home Shopping Centre!

    Tatizo nyinyi munaojiita wapinzani mulizamisha kichwa kwenye choo mukajipaka kinyesi mukakosa uhalali wa kuhubiri usafi. Mukawa munaimba wimbo wa kuondoa mfumo CCM tu. Sasa CCM bado ipo madarakani na inafanya mambo munaanza kusema Magufuli mpinzani 😳. Sijui Kama mgombea wenu ndio...
  6. K

    Serikali ifanye usafi kwenye mitaro, wananchi wachafue!

    Sikuwasikia hao wananchi lkn kwenye suala la usafi pande zote zinawajibika. Mamlaka husika zinapaswa kuweka vifaa vya kutosha vya kuhifadhia taka ktk maeneo ya umma na kuhakikisha taka zinasombwa kwa wakati. Kama huduma hiyo haipatikani wananchi wanaishia kutupa taka ovyo. Wakati huo huo...
  7. K

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    Usitoe povu la hasira bure Mkuu. Wanafiki na wema kila mahali wapo. Namba mbili kwa matumizi makubwa yatokanayo na ziara za nje ni Bunge! Na huko Bungeni waliokuwa wakibanana angani ni wote, wakiwemo wa upinzani. Credits apewe Magufuli kwa kuthubutu, kunena na kusimamia anachokiamini.
  8. K

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Wengine roho mbaya tu, choyo tu, gere tu, ufisadi tu, lolote la maana lenye mwelekeo wa kubadili maisha ya watanzania wataliponda na kulipinga. Heko Magufuli.
  9. K

    Rais John Magufuli afanya Ziara ya ghafla kwenye Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)

    Mhe. Rais ni vyema aendelee kuwashtukiza. Akifanya hivyo ataweza kubaini uzembe, kasoro zilizopo na wapi panahitaji kuongeza juhudi, kubadilisha uongozi au kuongeza rasilimali. Itafaa maeneo mengine arudierudie kuhakikisha maagizo yake yanatekelezwa. Kasi isipungue mpaka hapo watumishi wa umma...
  10. K

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Anayesema atashindwa, ashindwe yeye na atokomee mbali. Huu ni wakati wa kumuunga mkono kiongozi anayeonesha kukerwa na uzembe na wizi afanye kazi kwa maslahi ya taifa.
  11. K

    Ismail Jussa: Ni nani?

    Umeongea kwa lugha ya mjinga lakini kuna ukweli mwingi ktkt maneno yako.Labda ni vyema muungano usingetokea kabisa kuliko kuzungumzia kuuvunja. Maana vilivyoshikana havitaacha kunyofoana ikibidi kutengana. Pia si wazanzibari tu bali wote wana manufaa na Muungano. Kwa Bara ni prestige na labda...
  12. K

    Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba

    Duh...penye riziki hapakosi fitina. Hao wanaomponda kama kwamba wamewahi kuona kazi zake kama afisa wa serikali. Mara Mtusi, mara Mgogo, mara Mmasai, mara mchune..sijue Mpare. Tumeni basi sample za hotuba mulizowahi kuandika ili muchaguliwe kuwa wasaidizi wa Rais Hotuba!!!
  13. K

    Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

    Hii imenichekesha kwa jinsi nnavyomfaham Dkt. Azaveli Feza Lwaitama na ubishi wake. Hadi hapo, unabaki kuwa ukweli wa upande mmoja. Tungepata upande wa wahudumu wa ndege na polisi tungeweza kupima na kujua nani ameonewa, nani amemuonea mwenzake na nani amefanya fujo. Nakumbuka siku moja katika...
  14. K

    CRDB siyo Salama kwa Hela zetu

    Duh. Mimi niliwaandikia email watu kadhaa kwenye contact list yao, hakuna aliyenijibu.
  15. K

    Rwandan Foreign Minister: Kikwete could be an FDLR sympathiser

    Mbona mpiga zee anaongea kama mnyarwanda....kule kurejea rejea "sisi wabongo" naona kama ni kujitoa kimaso maso ili aonekane mtanzania, ilhali ni mnyarwanda mwenye nia ya kutuparaganya! Inawezekanaje kulinganisha issue ya watoto wa shule na issue hii inayojadiliwa....anatulazimisha tufikirie...
  16. K

    Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

    "Ilani ya Uchaguzi Chadema ndiyo inayotumika na yenye uzito sasa hivi:" mbona hali mbaya kuliko awali??
  17. K

    JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

    Kila mmoja huchagua wa kupenda na kuchukia...kwa mazingira yake. Mwasho wa siku no permanent friend, no permanent enemy, but permanent interest. 1. Waislam wengi waliilani CCM huko nyuma, sasa wapo wengi wanaoiunga mkono, japo la sensa limewaudhi. 2. Wakristo wengi waliiunga mkono CCM huko...
  18. K

    Jaribio la kugomea Sensa: Mwitikio wa Serikali

    Wakristo hawakukerwa na tangazo la TBC, ndio maana hawakuandika kueleza masikitiko yao. Waombwe radhi ya nini?
  19. K

    Jaribio la kugomea Sensa: Mwitikio wa Serikali

    Umeanza vizuri... lkn kusema kila mtu aanzishe tovuti yake aweke takwimu zake ni kukaribisha anarchy (mchafukoge). Mwisho utasema anzisheni Serikali yenu. Takwimu za nchi ni taarifa ramsi zinazopaswa kuhakikiwa usahihi wake na kutunzwa na Serikali.
  20. K

    JK akikosa safari ya Ethiopia nifungieni mwezi mzima!!!

    Nadhani na mwenyekiti wa AU, Bony Yayi wa Benin na Kagame wa Rwanda walikuwepo kwenye mkutano wa G8, ingiwa nchi mipango yao ya mapinduzi ya kilimo haikuvutia kama ya hizo nchi tatu zilizotajwa.
Back
Top Bottom