mm kwa mtazamo wangu sion uhusiano wa lesson plan na ufundishaj mzuri;kwan unaweza kukosa lesson plan na ukafundisha vzr na pia waweza kuwa na lesson plan na ukafundsha svyo.huo ni mtazamo tu wadau wa elimu.
Nampongeza shem wangu,nldhan anaongea na wa2 wengne kwa cm kumbe n ww mpenz wake,hayo n mapenz ya mwanzo badae mtajishape wenyewe ktk maongez yenu kwa cm.Ila usihofu mi nadhan anakupenda!
kaka kweli ww unaelmisha,raia tutambue haki zetu hata kama una kosa na uko mikonon mwa polic.Hivi polic akikukamata ukiwa na kosa kwenye gar yako mf.huna bima,nk na wkt huo nae ana gar/pkpk ambayo ina kosa kawa lako/yako,je mm kama raia nina haki ya kumwulza nae mbona hana bima au kosa lingne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.