Mkuu idawa haya ni Mabadiliko yanayosukumwa na Watanzania Maskini ambao wewe na Mzee Mwanakijiji mlishatufundisha kwamba chanzo chake ni ccm. Baadhi tulitamani yaongozwe na Dr. Slaa lakini Sisi tunapanga lakini Mungu ana yake. Hatuwezi kuyageuka eti kwa Sababu yanaongozwa na Lowasa. Wewe kama...
Miaka Kadhaa wa Kadha, "Nabii" Maarufu aitwaye Mzee Mwanakijiji alitoa Unabii wake wa Kuanguka kwa CCM. Ni Dhahiri kwamba Unabii huo unakwenda Kutimia. Lakini Kadiri Unabii huo unavyoelekea Kutimia Nabii huyo amejawa hofu ya Ghalfa na Sasa ameanzisha Operesheni Zinzuka ambayo Lengo lake ni...
Nimeshawahi kuwasikia Viongozi waandamizi wa ACT wakisema kwamba ATAYECHAGULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA URAIS NDIYE ANACHUKUA CHEO CHA KIONGOZI MKUU. Naongojea kwa Hamu kuona kama Zitto ataachia UNURU na UTASWIRA wa Chama Kitila Mkumbo
Kosa sio Kumkata tu bali Kilichoata baada ya Kumkata ni Nyie Wenyewe Kuwatumia Vijana akina Nape Kutoa Maneno ya Dhihaka dhidi ya akina Loawas na akina Kingunge. Yaani Vijana wa CCM Mmekosa adabu Kabisa? Tuliona Makonda akimtukana Lowasa na Kumpiga Warioba na Akapewa Ukuuwa Wilaya. Haya sasa...
Sasa Mkuu kama sio Uroho wa Madaraka ni nini? Kwa Maujibu wa Katiba ya Sasa Zitto hawezi Kugombea Urais sasa kwa nini Wafanye Maamuzi ya Kumfanya kuwa Kiongozi wa Chama based on TUMAINI la KATIBA Kubadilishwa kwa Sababu Katiba. Yaani Mku unaona SAWA HAPA?
Mkuu sioni Tofauti bali ni Jina tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.