Ninafikiri hakuna asiyefahamu kuhusu ALLIANCE IN MOTION GLOBAL, Basi hizo picha hapo chini moja wapo inayomuonyesha Donald Trump akiwa ameshika hilo bango linaloonyesha Food Supplementary za Kampuni hiyo (Nilitumiwa na Rafiki anayejishughulisha ba biashara hiyo akiwa katika kunishawishi). Kwa...
Habari zenu wakuu!?..
________________________
Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao walikuwa wanatumia Unofficial Whatsapp kama GBWhatsapp,YoWhatsapp,FMWhatsapp n.k kisha wakajikuta wanakula (BAN) bila kutegemea wala kutarajia.
Nitakupa ujuzi nini chakufanya kulingana na uzoefu wa matatizo ya...
Jambo la kwanza mwandishi unapaswa kufahamu nini maana halisi ya neno Biblia, Basi kama maana yake ni mkusanyiko wa vitabu ambavyo vimefanyika kuwa kitabu kimoja chenye vitabu vingi vyenye kuzungumzia matendo na ukuu wa Mungu aliyehai. Basi fahamu kuwa enzi za kale hakuwako mwandishi mmoja...
Utajiumiza moyo wako ama kujitafutia matatizo tu, Cheza nafasi yako naye acheze nafasi yake kila mmoja kwa kujitambua mbona kwa zoezi hilo tu utamjua mwenzako. Mwanamke kama alikuvutia basi ujue wengine pia wanamvutia hilo halina kinga hivyo basi kumfuatilia kafanya nini na yupo na nani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.