Za asubui ndugu..naombeni msaada wenu kuna simu yangu samsung galaxy duos GT-s6102 ilikua na screen lock ya pattern ya kuchora sasa kuna mtu aliichukua akakosea kuandika password sasa nili switch data off na inaniambia niandike email ili niweze ku unlock sasa inakua ngumu coz data inayosapoti...
Habari zenu ndugu zangu.
Jamani naombeni ushauri natamani mambo mawili (2); yaanni kusoma na kufanya biashara sasa nashindwa kuamu lipi ni fanye lipi niache lakini nikaona ngoja nililete hapa kwenu mnisaidie mawazo yaliyoambatana na vigezo vya kuzingatia kila kipengele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.