huyu sumaye mpuuzi tu, haya mambo anayosema yanafundishwa Universities za hapa hapa bongo dah nilisahau huyu jamaa hakugusa mlimani, lakini nakumbuka tulifundiswa kwenye somo la development studies mambo ya vicious cycle of poverty au pros and cons of exporting natural resources as raw material...
UFUNUO WA YOHANA;181369]That's good. Kila kona wanabanwa mbavu sijui watakimbilia wapi? inabidi waende misitu ya Congo wakafiche nyuso zao.
hah....hah...ahh iseh hii kali sana umenivunja mbavu, ufunuo.
There is no doubt kikwete ni fisadi hii iko wazi kabisa we angalia tu process ya yeye kuteuliwa na ccm kua presidential candidate "wanamtandao" ndio washkaji wake na wooote ni mafisadi sasa unategemea jakaya awe clean.
hii link hapa inaelezea jinsi mambo alivyokua upande wa nigeria kuhusu vijisenti vyao.
http://www.thelawyer.com/cgi-bin/item.cgi?id=129788&d=415&h=417&f=416
Ni kweli unavyosema lakini kumbuka kwamba olusegun obasanjo ambae alikuwa raisi wa nigeria aliweza kurudisha ktk serikali ya nigeria vijisenti ambavyo mtoto wa dictator sani abacha alikua amezificha jersey island, kwahiyo nakubali ugumu upo lakini hii case ya nigeria inatupa matumaini.
halafu...
ebu pateni information kibao kwa ku-google CORRUPTION INVOLVED JERSEY ISLAND ENGLAND halafu mtashangaa jinsi kisiwa hiki kilivyokubuhu kwa kuweka vijisenti.
hii cha mtoto wewe google CORRUPTION INVOLVED JERSEY ISLAND ENGLAND halafu utaona mafisadi kwanini wanapenda kuweka pesa kwenye hiki kisiwa, jamani enhe wekeni thread kuhusu hiki kisiwa kuelezea kilivyokubuu kwa kuweka pesa za wizi.
issa shivji ni mzalendo kweli kweli, ingekua kila msomi au maprofessor wa tanzania wanatetea wanyonge kama anavyofanya IS ingekua safi sana,kwa kifupi ni kwamba issa shivji ni mtanzania mwenye asili ya kiasia lakini ni mzalendo halisi kupita ben mkapa,edward...
yaani mnavyo- discuss kuhusu huyu vasco da gama mimi nataka hata kulia,yaani jamaa kakalia kutembea tembea tu huku nyumba yake inawaka moto,watanzania walikosea sana kumchagua huyu jamaa kuwa raisi, na uhakika kabisa haya mambo yangetokea na raisi ni salim ahmed salim hawa viongozi fisadi...
wewe unacheza kweli, vasco dagama atafanya nini? ameshindwa hata ku-address issue ya maadili (ethics) kule kwenye kikao chao butiama halafu unategemea aseme kuhusu chenge, oooooh anamuogopa kama ukoma akimgusa tu anawaumbua wote dagama na chama cha mafisadi, huyu rais wetu bure kweli.
jamani hata nyerere ambae alikua raisi kwa zaidi ya miaka 20 alikua hana akiba kabisa ikabidi jeshi wamsaidie kujenga kanyumba pale butiama,huyu chenge ana zaidi ya billion moja shillings tena kaziweka marekani kwa kipindi kifupi tu? uwiiiiiii mwiziiiiiiii, eti na huyu ni kiongozi ktk serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.