Haya ni mawazo yaliyokita kwenye mfumo dume, kila kitu kina tazamwa kwa faida, hasara hisia za wanaume!!
kuzaa kwa mtu yeyote ni "statement" ya mvaaji jinsi anavyoona yeye.
Inanipa raha sana nikiwa kituo cha basi na kuona "wide variety" ya uvaaji (Mitindo, rangi, "fabrics" itis just amazingly...
Ruzuku si hoja. CCM wana wanachama 5m kama kweli wanamapenzi na chama chao na sio....
kwa mwezi kila mmoja akichangia 1k yaani buku tu! fanya hii hesabu rahisi
Jiulize kwanini haiwezi kuwa hivyo
Kama TISS wanakazi wanayoifanya kwa maslahi ya taifa, mbona si wao wanaomshitaki Lwakatare wa CHADEMA? Au walimpa nondo Mwigulu ili apate ujiko.....!!!
Kwenye viambatisho vya hukumu ya ICC, kama ilivyosajiliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, zipo nyaraka
zinazoonyesha kwamba mwanasheria aliyeishauri TANESCO kuvunja mkataba na Dowans kwa kusema
kwamba sio mkataba halali na kwamba hakuna madhara ya kisheria kuuvunja ndiye huyo huyo pia...
Hivi unajua baada ya vikao vya Bunge kuahirishwa wabunge wa CCM na wa CUF hukutana katika vikao vinavyotangazwa na spika? wanamajadiliano gani yawahusuyo wao tu???
Ilimradi kuna kanuni imevunjwa, kukemea ni lazima. Vinginevyo "if you give them an inch they will take ya yard, if you give them a yard they will take a mile etc" Mh Spika hakuwa sahihi usi mtetee kwa njia hii
Baada ya CDM kutoka bungeni kulaani mabadiliko ya tafsiri ya kanuni za Bunge. (Bunge la 10 kikao cha 2) Mh. Naibu spika alionekana kwenye TBC akiwa na Mh. Mbowe. Katika mahojiano hayo, Mh Naibu Spika alitoa tafsiri ya Demokrasia kuwa ni "DICTATORSHIP OF THE MAJORITY"
Mimi sikubaliani na...
Nancy Tweed tafadhali sana usitusemee watanzania na wana-JF.
Mimi, na nina uhakika wapo watu wengi, wenye kufahamu na kuamini kuwa waisilamu ni watu makini na wenye sifa zote nzuri. Ukiambiwa utoe sababu za kutowa-support nina wsiwasi kama unaweza. Si vema kutoa maneno ya kujuisha watu kwa...
Vivian na wengine kama wewe. Inaonyesha kuna ukweli ndani ya hili suala. Ninauhakika kama ingekuwa utani basi kusingekuwa na jazba.
JIFUNZENI. MAMBO YA KIZAMANI HAYO
Tuhuma za RASI kushindwa kufanya maamuzi ni nzito sana sana saaaaaana. Maana hiyo ndio maana ya uongozi ukishindwa hilo hufai hufai hufai.... Haijawahi kutokea kwenye historia ya TZ. Hata tu watu kuanza kufikiria Raisi aliyeko madarakani asigombee second term. Sijui anataka aambiwe nini tena...
Thanks for the history of TZ swahili coast. But its also important to recognize the mainland, the bantus, "Khoisan" and "nilo-hamite".
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
nchi yangu Tanzania
jina lako ni tamu saaaana
nilalapo nakuota wewe
niamkapo ni kheri mama weeee
HAPPY 48th...
Tofauti ya China na nchi za Magharibi ni kuwa China serikali inaongoza maendeleo ya nchi, iko mstari wa mbele kutafuta malighafi kwa ajili ya viwanda vyake kwa kuingia mikataba moja kwa moja na serikali zingine. Nchi za Magharibi serikali zimejiweka nyuma lakini mwisho wa yote serikali za...
"There have been allegations for a long time that China has come to Africa to plunder its resources and practice neo-colonialism. This allegation, in my view, is totally untenable."
-- Wen Jiabao, Chinas premier, following a pledge of USD 10 billion in cheap loans to Africa over the next...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.