Shomari ni mshenzyy tu na huyu anashirikiana na Kinje katika hili. Kama unaweza kukonnect dots wakati anamiliki tenda ya ubungo bus terminal aliwah kusafirisha madawa na baus ta taqwa kwenda SA. AKIDAI ni tiket za getini a ubungo eti zimekosewa namba so anarudisha kwa supplier.
mkuu unahoji hilo?? huwez amini hata sasa kuna mwana masumbwi mmoja kakamatwa Italy na sembe, na huyu kachana live kwamba mzigo ni wa shomari. huyu jamaa ni balaa sana hata sisi kufungiwa kwenye shirikisho la ngumi sababu ni yeye.
Ushahidi upo tena wa wazi kabisa mbona hata ndugu yao ambaye ni afisa utumish wa wizara fulani naye anahusika??
Huu ukoo ni balaa, wana ndugu zao wanakaa Kibamba vijana wakubwa wenye waume na wake lakin hawafanyi kazi kazi yao ni hii hii ya sembe. Wana maisha mazuri usipime lakini kutwa wako...
Nikumbushe nini zaid?? Ama unataka kujua kisa chenyewe??
Basi iko hivi Samwel Sitta mkewe mkubwa aliitwa Valeria ni marehem kwa sasa, huyu ni mtoto wa dada yake na Kingunge kabisa huyu bibi aliitwa Mama Mbonde(Lydia) manake aliolewaga na mzee Mbonde naye alifariki miaka kama miwili imepita...
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).
Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.
thanks Mentor.
Actually i have discovered chitosan, bentonite conjugates in simple lg. But scientifically i have branded it a name chs-bent depolymerized conjugates, is a form of nanoparticles which can be used to treat waste water as well as portable water at house hold level means at point of...
sasa si bora hao wanalala wodini hta kama wanashea wodi moja kama mume na mke lkn wapo hai.
Huko Muleba kuna outbreak ya malaria ambayo imeshaua watoto wapatao 25 sasa hivi na jopo la madaktari na watafiti wako huko kuangalia kulikoni. imagine wilaya moja ndani ya wiki kupoteza watoto u5 25 sio...
Heshima mbele wakuu.
Mwenzenu naombeni mnipe jinsi ya kufanya hapa manake nimepatwa na kitete sijui nifanyeje.
Nimepata fursa ya kushiriki kwenye WORLD SMART PARTNERSHIP DIALOGUE itakayo fanyika hapa DSM kuanzia tarehe 26/6. Kwenye kongamano hili kutakuwa na delagation ya watu 600 na maraisi...
sikushangai manake hata haki za huyu marehem huzijui.
kimsingi ni kosa kuonyesha picha za marehem bla idhini ya ndugu wa marehemu.
pia ni kosa kuoesha icha za mauaji ya kutisha bila kutoa angalizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.