kama ni kweli acha tu waje maana inasikitisha sana hizi tv za kibongo zinabana sana,Tena nasikia wamemuajiri Tido Mhando hawa jamaa.patakuwa patamu huko
Jamani huruma mi sitaki hii kitu,ona wale polisi wanavyomuangalia kwa uchungu maana wanajua kabisa waziri anajitetea uongo.pale wamepeleka maboss wao wako wapi wale wadogo wanaozunguka na pikipiki kutwa nzima,tanzania nchi yangu nakulilia sana
Jamani huko kwetu ni mgao wa kufa mtu toka j3 wanakata saa 12 asubuhi mpaka sa 5 usiku,ila leo wamekata saa saba mchana,nahisi hawataki tusikie hoja za waheshimiwa wetu.
Jamani kwa nini mnafanya huu uonevu.nyie si ndio mnajifanya mnateta haki za walemavu?mwachieni huyo dada jimbo lake kalipigania vya kutosha.Kama wakimchakachulia basi naamini kabisa ile nafasi ya Mdee viti maalum itamfaa huyu dada na 2015 watauona moto wake.
Hongera sana kaka Mnyika kwa kweli umelipigania sana hilo jimbo kwa muda mrefu.mungu akutangulie ukafanye mabadiliko huko mjengoni.Ikiandikwa imeandikwa wameshindwa kuchakachua hapo.Hongereni sana kwa kuzilinda kura hapo
Jamani asikubali/wasikubali.taarifa nilionayo ni kwamba wanasema kwa kuwa wanakaribiana ni rahisi kuchakachua kawe ila kwa Mniyka ni ngumu sana.,sasa hapo wakikubali tu wanaangukia pua jamani.Jamani ccm acheni watu wapate mtu wao wanaemtaka.
Jamani kumbe hali ndio ilivyo.mi nilishabishana na watu kuhusu mkutano wa moshi mjini maana nilikuwepo lakini muda wa taarifa ya habari niliona umati zaidi ya uliokuwepo pale mashujaa.Mungu atatusimamia tu
Kilichomrudisha ni nini,hawa ndio wale wanauziba bahati za wengine bwana.hyo baba yake kama alimshinikiza kutoka kwa nini sasa karuhusu arudi?Tuendelee kumuombea Mwisho wetu awe wa mwisho kutoka kwenye hilo jumba la kaka mkubwa.
Hawa watu ,Mwakyembe,Sitta na wengine sijui kwa nini wanashindwa kusoma alma za nyakati.Hawatakiwa kabisa ccm na ndio maana wanawatengenezea zengwe.Ushauri wa bure ni wao kutoka na kutafuta chama kitakachowathamini.Subirini kampeni za kweli zianze kama mtasikia hii kamatakama ya kijinga.Naona na...
Nimeona kwenye ITV slaa akiwa huko karatu.jamani ule umati unatisha.swala ni je hawa watu wamejiandikisha kupinga kura?na je siku hiyo kama wamejiandikisha watakwenda.Kunahitajika elimu ya kutosha kabla ya tarehe ya uchaguzi ule umati unahamasisha sana.
NI usd 200,000 mkuu.Namuombea mungu huyu kijana ashinde.ameshapigika vya kutosha na sasa ni mtu mzima sidhani kama atarudia uli ujinga wa wakati ule na akina RC.
Jamni hii inasikitisha sana.Hivi hao wanaojiita JWTZ kwa nini na hao wasihusishwe na ulinzi wa raia na mali zao.maana kwa mtazamo wangu naona hawana kazi zaidi ya kuchukua mishahara tu.Ethiopia nchi inalindwa na wanajeshi na kila wakati utawaona wakizunguka kuhakikisha usalama upo.Jamani...
Chakula kinaitwa njera/injera.kwa kweli kama hujazoea kula vitu vichachu huu msosi huwezi kula na sosi zake zina pilipili ya kufa mtu.Kuhusu uzuri zidhani kama ni wazuri kama mnavyozani,niko hapa kwa miaka nane nawajua vizuri naamini hata tz wapo warembo.Kwanza ni wachafu sana ni hizo jeans tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.