Hili ndio tatizo letu tukijadiliana bandari tutaingiza uislam, uarabu, halafu kama ulivyofanya jamaa yangu 'Retired' character assasination kwa Mtume wetu, kinachonisikitisha ukatumalizia na cartoon yako kutaka kumtukana Prophet wetu kwa matusi yako ya picha why uende all the way kujitahidi...
Abuu Dhar ukielewa vita hutabaki ukisema anawapiga mashiaa wanaokufa katika mabomu ni Waislam sunni kama mimi na wewe, Mtume aliposema wanapopigana wote motoni kulikuwa na maana kubwa hapo.
Chizi atakaetaka kujiripua atakuja kukutajia jina lake ili ukimbie kwanza? Blunder akifanya mmoja unawapakazia wote wenye majina usiyoyapenda kwamba ni waripuaji, hata kama wako karibia bilioni wewe utabaki unamzungumzia Chizi mmoja na usione kabisa uzuri wa bilioni waliokuzunguka.
Kweli tofauti lakini kwa akili yako kutofautisha bado inaonyesha ugonjwa aliokuwa nao aliowachomekea waarabu unao pia, ku label watu kwa uarabu kunakuonyesha unahitaji msaada wa kupimwa akili.
Wameshatengeza machine za kupima ubongo nafikiri wakipima yako itabidi wafungue utafiti mpya wakuijadili yako ilivyo, utakuwa utafiti ulioshinda huu unaoelezea sasa.
KWA NINI UNADANGANYA? Mwislam wa kweli unaomzungumzia wewe mpaka asiwe rafiki wa Mkristo unaitoa wapi? Mimi Muislam mwenyewe nashangaa na misimamo unayotulisha, uongo wa kupitiliza, hii chuki yako binafsi sasa unaisambaza kijinga halafu unajisifia kumzungumzia Muislam wa kweli, acha hizo ..
Wewe Mgen majibu yote uliyopewa na huyu Dada na proof zote za maandishi bado tu umeg'ang'ania na unataka 'asbab nuzul', nionavyo Wewe hutaki kuelimishwa kwa kifupi una kitu ubishi wa asili, kwa kukusaidia hiyo habari ya Taqia uliobandika itakuchanganya sana kwa sababu wengi imewachanganya, kwa...
Hao Wasaudi wanawake kuendesha magari sio issue ya Uislam, ni masuala yao binafsi kama nchi, unachanganya mada, Iran wanawake wanaendesha miaka mingi na ni nchi ya Kiislam.
Kuendelea sio kubadili mavazi, tazama Europe 1800 walikuwa wanawake wanavaa vipi, isiwe kigezo kwako mavazo yakibadilika...
Wanafunguka akili kwa kuwamaliza wanaokwenda kusali msikitini? Wewe unaona kila siku Wazungu wanaingia katika Uislam labda ingelikuwa kinyume chake Waislam wanapata akili ya kutoka tungeamini maneno yako, KILA SIKU UISLAM UNAONGEZEKA, jiulize ingelikuwa dini ya Machizi tungelibaki na...
Tukitafsiri kila jina linalozunguka duniani ubaguzi itakuwa shida, mwenyewe fikiria Muhindi akiisikia Young African akufahamishe huu ubaguzi utamuelewa? Ukiondoa mawazo negative hata ukikutana na mbaguzi atajifunza kwako kwamba ana chembe chembe za ujinga.
Sio lazima hata wewe kumpokea kwa sababu angelifanya kitu cha maana sana kutibiwa Muhimbili kwani yeye alitakiwa awe mfano kwa anaowatawala pili ikiwa Muhimbili haikukamilika yeye kama kiongozi ana uwezo kuipandisha chart
Matendo mazuri atakayofanyiwa Binti mfanyakazi wa ndani inaweza kuwa sababu kubwa ya kuondoa Roho mbaya ya kufanya upumbavu mwingi akiwa pekee ameachiwa majukumu katika nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.