habari! tafadhali kwa anayejua jinsi ya ku apply kwa hawa UN volunteers! kama unataka kuvolunteer! maana wametangaza volunteer ila hawajasema jinsi ya kuapply! yaani contact ama form na kwenye web yao sioni! pls kwa anayejua! wametangaza na post pia yaani si volunteer na wameonesha jinsi ya ku...
Habari za jioni wana JF!
Hapa nataka kuzungumzia kidogo bajeti ya 20012/2013 na marekebisho ya kodi ya magari!
Iko hivi:
a) Hakuna excemption kwa wafanyakazi wa serikali,
b) Magari ya mashirika ya dini yatalipiwa kila kitu
c) Magari chakavu yanapigwa penalty less than 8 years not 10 years...
Habari za jioni wana JR!
hapa nataka kuzungumzia kidogo bajeti ya 20012/2013 na marekebisho ya kodi ya magari!
yako hivi
a) hakuna excemption kwa wafanyakazi wa serikali,
b) Magari ya mashirika ya dini yatalipiwa kila kitu
c)magari chakavu yanapigwa penalty less than 8 years not 10 years kama...
Jana Bunge liliboa sana hasa huyu mheshimiwa kuonesha upendeleo wa waziwazi! mh Manyanya kaizungumzia hoja ambayo iko mahakamani ingekua ni upande mwingine ungesikia hoja iko mahakamani! ila sisi kama wananchi mwigulu umeiaibisha CCm kwa kuonesha kushindwa kwa hoja na hivyo kukitumia kiti...
ni kweli jamani! hali ni mbaya sana! ni mbaya kwa kweli! mimi mfano nilisoma education as ma first degree so nilipata ajira moja kwa moja sasa nimesoma post ya monitoring and evaluation (M&E)! ki ukweli kazi hizi zinatangazwa kila siku na na apply kila siku! sija experience kutafuta kazi you...
asanteni kwa kunitia Moyo! lkn huu uzi unatamani umpate mkunaji! natamini kujua! haya mambo yapo?????????? na km yapo nini suluhusho! tujadili jamani wana JF
wadau! Morning!
jamani hebu tusaidiane! hivi ni kweli kuwa kazi huwa zinatangazwa lkn hiyo Organisation tayari inakuwa na mtu! yaani wanatangaza ili tu kutimiza sera ya recruitment lakini mtu wa ku cover hiyo nafasi anauwepo! kama ni kweli huu ni ukatili wa aina yake! unajua ku apply kazi...
kilahunja siioni kaka! yani nimepata inaitwa applicants@tz.peacecorps.gv wanasema the domain is not found dah! na ndo walioitoa ktk gazeti! ofisi zaao ziko wapi mkuu!
wadau anayefahamu application email address ya US Peace Corps Tanzania! nataka kufanya aplication niliiona email adress yao asubuhi humu kwa sasa siioni! au ile web ya youthjobs nicheki! wadau msaada jamani.
namadmire Mh. Ben! napata raha ata nikimwona anaongea! huwa anajiamini na naonesha kufahamu nini anaongea.......! he is always serious! nam admire sana! mh. slaa kanifanya nipende siasa, Halima Mdee nampenda huwa anajiamini sana wanawake wachache wako kama yeye! Mh mbowe, January Makamba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.