Eneo la kutosha linauzwa,lipo MBEZI-LUIS,mkoa wa DAR ES SALAAM,WILAYA YA KINONDONI,KATA YA MBEZI.Tuwasiliane kwa 0713-507181 au email adres diccky4@ovi.com
Ahaaa jamani acheni kumshambulia huyo Mnyella,mm ninachomsifu amekuwa muwazi,ameeleza ukweli,kina dada wengi umu jf wanatuogopa sana wanaume kwa ajili ya uongo,utakuta mtu anajipaisha tu,mdada anapoteza muda mpaka hatua ya mwisho mdada anagundua ni muongo,kwaiyo Mnyella naona kaeleza ukweli...
Kweli Chamchella!wengi wa wanawake wa jamii hawana lengo la kutafuta mume wa maisha,wengi wao wanatafuta mwanaume wa kumaliza matatizo yao,mm nakusapoti sana,na utapata yule ambae kweli anataka mume wa maisha sio anaetaka mume wa matatizo yake,poa mkuu!
Naomba na ww usiwe unajaribu!maana wanawake wengi wa jamii joking nyingi na wa kuangalia maslahi,kama ww haupo huko mm pia natafuta mke na niko serious kweli na sijaribu nataka mke nina miaka 43
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.