Ni mwalimu Hamisi Yusuph Mgana wa KILINDI-TANGA, nahitaji mwalimu wa Sekondari wa kubadilishana naye;
Niende GEITA na yeye aje KILINDI-TANGA.
Kwa mawasilianozaidi;
0716796908 au 0763563980 au 0784384089.
Tusaidiane juu ya hilo na Mungu Alifanyie wepesi!!!
Ni mwalimu Hamisi Yusuph Mgana wa KILINDI-TANGA, nahitaji mwalimu wa Sekondari wa kubadilishana naye;
Niende GEITA na yeye aje KILINDI-TANGA.
Kwa mawasilianozaidi;
0716796908 au 0763563980 au 0784384089.
Tusaidiane juu ya hilo na Mungu Alifanyie wepesi!!!
Jamani, mfumo wetu wa Elimu ni mbovu tu wala tusilaumu vyuo!!! Sasa kama mwanafunzi anasomea Ualimu then no seminar presentation, hizo TP zitamtosha? Administrators na managers hawataweza kuja hivi!!! We hav to be individual creatives in our daily life!!! My perspective no need to judge!!!!
Elimu ya Tanzania byeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!! Wao washanufaika jamani, matoto yao yapo Ulaya, wana shida gani? Mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaaaa!!!!!
Mwalimu Lawrence Gowela wa Kilindi-Tanga, anahitaji Mwalimu wa kubadilishana naye kutoka NYANDA ZA JUU KUSINI kama: Songea, Iringa, Mbeya Njombe, Ludewa, Rukwa na Mpanda. Naomba tuwasiliane kupitia; 0755 38 96 08 au 0716 20 53 57
Mimi ni mwalimu wa sekondari mkoani Tanga-Kilindi, natafuta mwalimu wa kubadilishana naye ili yeye aje Tanga mimi niende Geita kwa mawasiliano tuwasiliane kupitia Na. 0784 38 40 89 au 0763 56 39 80 au 0716 79 69 08 tusaidiane ndugu zangu!!!!!
Kwa kweli, Rais abaki na madaraka yake tu kwani hakuna waaminifu na wanaofuata Integrity katika kuifanya hiyo kazi kama endapo Rais atapunguziwa hayo madaraka yake! According to me and not necessary to be taken!
Napenda league za wasomi kama hizi kwakweli! Kama anabisha kwamba, wingi wa uwanja ni nyanja au viwanja, mwelekeze akasome NGELI ZA NOMINO na Ushahidi wa KIISIMU
Cha msingi na sekondari, endelea kuwauliza hao mashosti zake ili ufahamu yuko wapi, labda ana aunt bt hakukutel mzeiya! I know inauma sana kaka! Pole saaana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.