Hakikisha umefunga milango yote ya gari ukiwa ndani, na vioo sehem zenye vibaka kama magomeni, wezi hawatabiliki kabisa wanaweza kunyofoa vifaa hata ukipark gari sio lazima kwenye foleni, cha msingi nikuwa na insurance (comprehensive cover) kuliko kuhangaika kupambana na hao watu usije kuishia...
Sintah mwenyewe anakana kwamba hajachukua mkopo Access Bank, sasa atasaidiwaje! watu hawajui kwamba mkopo sio kitu kibaya hao matajiri wenyewe wanaendelea kwa mikopo, wanatumia pesa za Mabank kujiendeleza zaidi, wabongo watuwakijua umechukua mkopo unahisi umevuliwa nguo barabarani!!!
frema 120,
Nenda hospitali umuone dr wa kinamama (gynecology), upate vipimo vyote na utashauriwa ni dawa gani yakutumia kama kweli una malaria, once u find out unamimba nivizuri kwenda kwa Dr (gynecology) kuconfirm the pregnancy napia kushauliwa way forward, mdu huu hutakiwi kunywa dawa yoyote...
inasikitisha,inahudhunisha napia niaibu kubwa sana hata kuiongelea, Dr. Masau alijitolea kutokana nauzalendo wake namapenzi yake juu ya tz ila serikali ya tanzania sujui kama kunajema wanawatakia watanzania
mmeshakaa kwa mda gani katika uhusiano wenu? jaribu kumchunguza ama ongea nae kama kunakitu mlikorofishana aweke wazi maana sisi waschana tunatabia ya kuweka vitu rohoni na utateshwa nachompaka ujue nini tatizo umepigika vyakutosha, asisingizie startime tamthlia kuna jambo,,,,,,
kwahiyo ni heri watu wafe kwasababu hamna vifaa wala dawa?, hawa watu (madaktari) wanakutana na vikwazo na shida nyingi huko mahospitalini am supporting them maana najua kama watapata wanavyo viitaji vitasave watu wengi sana kuliko wakitulia nawalivyo navyo sasa
yule aliekua analalamika hamna haja ya wabunge kuendesha kilimo kwanza ama kuvaa suit zabei ghari sana, mkewe juzi ameoneka ndani ya kilimo kwanza mpya kabisa, pesa wanazipenda na hawawezi kuwa tayari kuongea juu ya mishahara wala marupurupu watanzania tutaendelea kuumia waachache wakifaidika
hivi mnahisi kunamtu anaweza sema waongee ili tuwapige maneno mshahara mkubwa na wanatanzania tunashida nyingi sana, amna atakayekua tayari kuongea ukweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.