Hivi wale wenzangu na mimi mnawakumbuka hawa?
1.Waziri wa Fedha Amiri Jamal
2.Waziri wa Afya Aaron Chiduo
3.Waziri wa Sheria Julie Marning
4.Waziri wa maji na nishati Al noor Kassum
5.Waziri wa Ujenzi Samwel J Sitta
6.Waziri wa Kazi Alfred Tandau
7.Waziri wa Elimu Thabitha Siwale
8.Waziri wa...
Habari zilizonifikia punde ni kwamba aliyekuwa mbunge wa Chambani(CUF) Salim Hemed Hamis aliyeanguka jana akiwa kwenye vikao vya kamati za Bunge amefarikileo MNH.(RIP).
NBAA siyo bodi ya kubabaisha.na hata CEO wake bw.Pius Maneno ni mtu makini na mwadilifu sana,namfahamu tangu akiwa shuleni pale Sangu.BRAVO NBAAA.KEEP IT UP!
Maskini Nyamboga,kumbe Ndugai ndo alivyo!
Namkumbuka sana marehemu kwani tumefanya kazi ofisi moja Mby kabla hajawa RM Kongwa.
Damu yako na iwatafune.
RIP.
Jamani nashindwa kuelewa mantiki hasa ya wabunge kupokelewa kwa maandamano pindi warudipo majimboni mwao baada ya kutemwa uwaziri.Au ndiyo staili mpya ya kusafishana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.