pia pampja na ushauri ulio pita itakua bora zaid ukwa unaupdate kwa kutumia wireless internet itakua faster zaid kuliko kutumia data bundle simu hiyo hiyo tafuta simu nyingine ya inayo suport portable wifi hortspot then washa wireless kisha anza ku update itamaliza faster na data zako zote...
habar wakuu...nnatambua wazi kabisa u
wezo mkubwa uliomo ndan ya jukwaa hili , nnaombi. moja kwa yeyote mwenye uzoefu na jinsi ambavyo unaweza kufanya namba flan pekee isikupate hewani hata kama upo hewan kwa mtandao wa voda na tigo natanguliza shukran kwa wote mtakaoguswa na thread hii na...
<strong><em><em>Habari wana jukwaa , nilikua naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu ku update taarifa za loan board kwa continuing students , maana nakumbuka mwaka jana tuli update ila mwaka huu nimejaribu mara kadhaa ku log in kwenye account yangu ya HESLB inagoma ina andika...
Habari wana jukwaa , nilikua naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu ku update taarifa za loan board kwa continuing students , maana nakumbuka mwaka jana tuli update ila mwaka huu nimejaribu mara kadhaa ku log in kwenye account yangu ya HESLB inagoma ina andika kua taarifa sio...
heshima kwenu. nmedownload adobe photoshop cs2 tatizo lipo kwenye installation inahitaji serial # na mm nmedownload setup peke yake kwa yeyote anaye weza nisaidia hizo serial namba naomba msaada. natanguliza shukurani.
kwa ushauri zaid bora ujikaze ununue laptop mpya maana kuna za laki 490000 mpya na unapata warrant ya mwaka mzima hard disk320 ram2gb procecor cjafuatilia vzur maana mshikaji kanunua hzo used baada ya week 3 display ikaea imekufa ikamgharimu tena kutafuta fundi mwisho wasiku cost ikawa mlemle...
hongera, ila kuna baadhi ya weakness nimeziexperience kwa harakaharaka, mfano baadhi ya maneno maana zake hazionekani. kwa mfano neno joy ,original, pia kuna baadhi ya maneno yana miss ambayo ni key wors
ila iko vizuri baadhi ya sehemu kwa mfano ina respond vizuri japo haiko fasta
Napenda kuwasilisha mada kwenu ,Ni simu ya samsung galaxy S4 imepoteza ile orginal boot screen ya samsung s4 baada ya kua nmerestore nilipo iwasha inaleta bootscreen ilo andikwa android nmejarib kupitia pitia nujuayo mm kama kufanya recovery ila imenishinda kuirudisha katika hali ya kawaida...
naomba msaada wa kurudisha bootscreen kwenye simu aina ya samsung galaxy S4 wakuu nilikua naifanyia Restoration ili niweke account mpya baada ya hapo nilipo washa inaniandikia android ile icon ya Samsung glxys4 imepotea tangia hapo nisaidien wiki kuirudisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.