SEREKALI YA TANZANIA YAIPIGIA
MAGOTI KANISA,POLISI
ZANZIBAAR WASEMA
WAMEMKAMATA KIBONZO
KILICHOMWUA PADRE MUSHI.
Hali ya usalama
umemimarishwa kufuatia
fununu kuwa Baadhi ya Maakofu
waliodai kutishiwa maisha na
kitisho cha kuivuruga siku kuu
ya Pasaka ambapo Manasara wa nchi hiyo...
Wakuu habari zenu....
NATAKA KUULIZA KUHUSU HII BUNDLE YA VODACOM YA 8000/= KWA MWEZI.. JE SPEED YAKE NI SAWA NA HIZI ZINGINE ZA 200 NA 500 KWA SIKU AU INAKUWA TOFAUTI KIDOGO NA ZINGINE... PLEASE KWA WALIOWAHI TUMIA PLEASE ANISAIDIE KABLA SIJAJIUNGA NAYO... MAAANA MITANDAO YETU NOW KERO TUPU
WEB NAYOTAKA KUANZISHA IWE NI YA PC PIA NA MOBILE version..
Nipo hapa hapa Tanzania
Maudhui ni kuprovide mambo ya kijamii, music, elimu ya mapenzi(kitchen party)... Application za simu and much more... Kwa kifupi mambo mchanganyiko
Natak kuchukua .com vipi utaratibu hapa
WanaJf je ninawezaje nufaikaje nikiwa na website/wapsite/blog yenye zaidi ya hits/visitors 1000 per day.... Msaada wenu please kwa walio na ujuzi wa mambo haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.