Habari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma
Naishi Dar es salaam
Kazi bado cjapata ika najishughulisha na biashara ndogondogo
Kabila mchaga kutoka...
Mwambie rafiki yako asiogope wala asiwe na wasiwasi asilimia kubwa na wanaofunga ndoa wanakua wameshavunja amri ya sita(usizini) mimba ni matokeo ya walichokua wanakifanya cha msingi ni kumweleza mchungaji kabla ya mafundisho ya ndoa ili mrudi kundini kwa walutheran wataelewa na siku ya harusi...
Mpz wako ndio tatizo kubwa hakujiheshimu kwa shemeji yake ndo maana akakubalina pia inawezekana hana mapenzi ya that kwako ndo maana kaamua kufanya hayo.
yaani huyo anataman kujirudi lakin hana jinc ndo maana anakutukana na kukuchokoza elimradi tuu mawasiliano yarudi achana nae huyo endelea kukuaa kimya atachoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.