viongozi wa ccm wanaishiwa mbinu kila kukicha, watakaopitisha hiyo sheria isiyohitaji theluthi 2 ni akina nani? rasimu ya warioba kqanini wanaiogopa kiasi hiki? tupatieni katiba itakayobeba matakwa ya wananchi.
kijana kama j makamba anaubavu wa kuwakemea rafiki wa baba yake? Mi nataka raisi anayejiheshimu,anapenda nchi,anayechukia rushwa na umasikini wa watanzania sitojali umri
s5 mfuniko una rubber ya kuzuia maji kuingia kwenye simu,flash ya camera rangi ya njano iko ndani sana na inang'aa,contrast ni nzuri kwa origianal. Fake haina rubber kwenye mfuniko wa betri,njano iko juu kwenye flash tena mpauko,contrast imepaukaa.pia kujua original install cpu-z itakuonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.