Kabla ubishi haujaenda mbali sana labda tuwasikie Warusi wenyewe kupitia chombo cha serikali yao:
Kremlin Unaware About Assad Allies' Alleged Statement on US Crossing 'Red Lines'
Joshamee Gibbs: Jack, I have to ask. You had the Chalices, the water, the tear. You could've lived, maybe, forever.
Jack Sparrow: The Fountain does test you, Gibbs. But better to not know which moment may be your last, every morsel of your entire being alive to the infinite mystery of it all...
Asante kwa swali zuri, fupi lakini gumu kidogo.
Najibu hivi:
Sayansi ina msingi wake wa kuutafuta/kuujua ukweli. Msingi huu ni utafiti/research. Ili jambo liwe ndiyo (ukweli) ama siyo (uongo) linahitaji kufanyiwa utafiti ambao huja kuthibitisha juu ya uwepo wa ukweli huo. Mfano ikiwa tuko mwaka...
Mambo vipi abdulrahmana !!
Ningependa nikujibu maswali yako. Angalizo, sijasoma kila bandiko katika uzi huu hivyo huenda kuna baadhi ya maswali yameshajibiwa.
Hata hivyo utaratibu wangu wa kujibu ni huu,
Kusiwe na jazba
Mjadala uwe wa hoja na ushahidi pale inapowezekana. Kupinga jambo kuwe...
Habari,
Pole kwa mgogoro katika mada. Nikwambie tu kuwa SAYANSI HUIJUI KWA KIWANGO KINACHOTOSHA. Unapomwambia mtu achunguze kabla ya kushangilia wewe pia unatakiwa kufanya vivyo hivyo. Sasa soma hapa:
Si kweli kuwa wanasayansi "WOTE" hawaamini kuwepo kwa Mungu.. tatizo ni mitizamo ya dini...
Umeelewa lakini nilichoandika?
Ukisoma "kifalsafa" mtiririko wa bandiko langu utagundua kuwa binafsi sina neno na jina lako bali ilikuwa ni satire/parody/irony kwa waliojikita katika hilo. Soma tena. Ndiyo maana nikasema katika aya ya kwanza "kibinadamu".. kuashiria udhaifu/bias ya binadamu...
Chizi Maarifa, kwanza naanza kutoa lawama kwa jina la utambulisho ulilotumia (ID). Linachangia sisi tukushambulie. Kati ya chizi na maarifa nafikiri chizi ndilo neno baya hivyo "kibinadamu" tutalichagua hilo baya badala ya zuri. Hivyo wewe ni Chizi.
Sasa kuhusu mada uliyoweka, sitazungumzia juu...
Shangazi FaizaFoxy naunga mkono bidii yako ya kusahihisha makosa katika matumizi ya lugha ya Kiswahili. Siku hizi neno "wimbo" linaitwa nyimbo. Waathirika wakubwa wa kosa hili ni vijana, hii ni ishara kuwa vijana hawajisomei au hawasomi vyanzo sahihi vya lugha fasaha.
Hata hivyo wewe binafsi...
Ni sawa na ninaafiki. Sasa napumzika rasmi. Naona hapa tuko katika ujenzi wa mnara wa Babeli (Tower of Babel)/(Babylon), ila Alpha Blondy alisema,
We want peace in Liberia
Peace in Monrovia
We want peace in Liberia...
Ndiyo maana nikaongeza sentensi, "Sahihi zaidi ANA UWEZO". Kauli ya "Hawezi kufanya" inaweza kuandikwa loosely "He won't do it." AU strictly "He is unable to do it." AU "He can't do it." Kama unamaanisha "He won't do it (since it is silly)." then FINE. Ila kama pia unamaanisha "He is UNABLE to...
Aaah, inaonekana haya nayoandika hayaeleweki. Mbona mi naandika lugha rahisi tu!!?? Nitafafanua. Madai kuwa hana uwezo kwa kuwa uwezo wake una ukomo, hayo ni madai yako kwa upande unaoushikilia na ndiyo msingi wa Omnipotence Paradox. Msingi wa Omnipotence Paradox uko based na logic ya binadamu...
Jibu langu ni hili hapa chini ananijibia einstein newton :
Nashukuru kwa umakini wako katika statements za mleta mada, kama unavyohitimisha hapa chini:
Haya, tuachane na kujichanganya kwa mleta mada, acha nijibu mimi kama mimi.
Ninachojadili hapa ni kujaribu kutengeneza suspicion (hence...
Aaah haya bana!! By the way, so far hadi sasa sijaona source yoyote ya kisayansi inayoonesha kuwa space (even beyond universe) ni finite zaidi ya thread hii. Nimefuatilia hoja za akina Stephen Hawking, Theory of Relativity etc sijaona popote inaelezwa kuwa space ni finite ultimately (Finitiness...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.