Hivi ukiandika uwa unasoma ulichokiandika? Na unategemea mtu akutegeshee namba mtu wa aina yako mwenye akili za namna hii?
Acha shobo.
Unapata wivu hadi kwenye matatizo ya watu?
Mambo unayoyafanya ni ya wadada ambao hawajitambui.
Sasa hii akili yako utegemewe na familia, watatoboa kweli...
Una stress za maisha…
Kama huna la maana kaa kimya.
Unadhani kila mtu anafikiria upumbavu kama unavyofanya!
Na hapo we ni mwanaume umekaa kufikiria ujinga…
Habari?
Kwa yeyote ambaye amemuona mtu huyu pichani, tafadhali ninaomba msaada wa taarifa.
Majina yake ni Seleman Mdabi
Ni daktari katika Dispensary iliyopo Tabata kinyerezi. Kabila lake ni Mnyiramba. Kwa sasa ni mgonjwa. Amepotea tangu mwisho wa mwezi wa nane hadi Sasa.
Makazi yake ni Tabata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.