Hakufungwa alikuwa anashikiliwa mahabusu ya segerea kwa kesi ya kukutwa na passport zaidi ya moja na kesi hata ilikuwa haijaanza kusikilizwa amekaa mahabusu mwezi wa sita angefikisha miaka mitatu kwani alifungiwa dhamana ila amefia muhimbili alikokuwa amelazwa kwa takribani miezi mitatu kwa...
Dhamana ilikuwa imefungwa kwenye kesi yao,Ndugu zake wamewatolea nje hawahitaji misaada yao hakuna mbwembwe kabisa ni kawaida tu kama msiba wa mtu wa kawaida, watafanya mbwembwe zao kwa tajiri Seki labda.
Msiba upo Tegeta kituo cha Azania unavuka upande wa pili na kurudi nyuma kama unarudi mjini hapo ukiuliza utaonyeshwa sio mbali, ila jamaa wasanii wenzie walimsusa sana alikuwa anahitaji hata watu wa kumchangia damu hawakuonekana amelazwa Muhimbili almost miezi mitatu , apumzike kwa amani...
mke alieachwa pamoja na ndugu walivalie njuga hilo tatizo iwe ni kwa maombi ya uhakika au kwa upande wa pili uchawi wa aina hiyo upo jamani pengine hata kamemvuta kwa dawa kutokana na uwezo wake kifedha daah inasikitisha sana
Wanaume watatu wote wameambiwa mimba aliyonayo Sara ni yao na wanaamini hivyo baadae kawageuka wawili na kumnga'ng'ania mmoja ambae ametoa mahali nadhani na gharama za kutosha :hii ndio dunia zaidi ya uijuavyo
Age is nothing but a number kama unampenda kwa dhati hakuna tatizo tii moyo wako unavyokuambia ila kama huna mapenzi ya dhati yakiisha hayo mapenzi utamuona ni mzee na hasa ukiwa na mwingine pembeni mwenye umri mdogo hivyo kuwa na uhakika kabla hujaamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.