Hakuna cha kushuka wala nini, ni maigizo tu wametufanyia kuona mitandao mingine wanahama/inakimbiwa na watu ndio wakaona watuzuge kwa staili hii ya kwamba rates zitakuwa sawa
Hii ni dalili njema kwani mzazi akikaribia kufa au amezeeka sana huwa anagawa urithi mapema isije ikaleta mtafaruku kwa watoto. Sasa wanagawana wakijua 2015 baba hatakuwepo hai tena (ccm). Nyota njema huonekana......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.