safi sana mwambie kama ananisha tuweke vitu hapa pitia web ya udsm wameweka namba ya form 4 ya waliochaguliwa then chek performance yao uje utuambie ndo vichwa. Elimu ya chuo haina wa kwanza wala wa mwsho ni kujitambua tuu else utadisco kama kawa ma sap kibao. Acha kushusha vyuo vingine elimu...
wewe ndo unahitaj elimu. mtawara kuna uwanja wa ndege, kunarel, kuna bandari. kunaviwanda. kama hvyo havikith huduma , nilvyotaja hapo viboreshwe kwa hzo fedha za mrad wa mabomba.
Share with netwok uwe na d link swtch. Tumia utp cable cat 5e au 6. Then chomeka computer zote kwa hyo swtch. Go to Prnter and fax clck add printer chagua network prnta fuata maelezo. Whle hyo prnter iko conncted kwenye computer moja.kama hutaona jinj la hyo printer, make sure unabrowse jina la...
Jaman hyo n hatua ya mwisho kwa nn uformat? Bonyeza ctr +esc
Chagua option boot without loder.
Then itawaka kama mwanzo baada ya hapo load tena hyo loader itakupa option mbil chagua option ya pil.
wewe kama una ndugu yuko mikoa mingine mwombe akununulie hiyo vocha NBC afu akutumie hizo namba ili uweze kuaply na siyo kulalamika,tumia maarifa yako na siyo kulaumu
kwa mkataba wa mda gani mana ikivunja mkataba ni gharama mara 6. chenji ya rada itaisha twiga wataisha migodi imeisha what next? kugawana kila mtu achukue chake.
kiukweli wananchi watapoteza imani na sifa ya mbunge wetu.swala la barabara inatakiwa alifuatilie na ikiwezekana awe anatoa update kinachoendelea.inakuwaje mda wote kibaki kipande kidogo na hadi leo hakijakamilika?
tunaskia wabunge wengine wako jimboni kwao wanafanya shughuli za maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.