Kujitoa CWT ni process fupi na isiyo na Usumbufu. Andika barua kwa Katibu wako wa Wilaya ukipitia kwa Mwajiri wako. Utatoka haraka sana. Hakuna haja ya kutoleana lugha za kuudhi ninazoziona humu. Ila take my word: huwezi kufikia retirement age kabla hujajutia uamuzi huu wa kujitoa!
Sent using...
Barabara ngapi za lami zinapita ndani ya National Parks na Wild Beasts are there to stay! Acheni kelele zenu ninyi Mawakala lazima Barabara ijengwe kwa manufaa mapana ya People of the Lakezone na wale wa Mto wa Mbu!!
I have assigned myself something productive to my Country. I must initiate a strong move to curriculum designers/developers to adopt in a school system a very important content material to go by the name of CRITICAL THINKING AND ARGUMENTATION. This subject, with no doubt, is likely to mould...
Mariahose tell me
Una asili ya Mkoa gani?
Wewe ni wa Kabila gani?
Unajishughulisha na nini?
Ni wa dhehebu gani?
From there we start business. Seriously!
Zee la Hekima umeongea vizuri sana. Ila kuna ishu ndogo hujaizingatia. Msukule kama dhana, hakuna mwenye ubishi nayo. Lakini ukitafuta istilahi Msukule katika lugha ya Kiingereza, hapo ndipo tunaachana. Ni lazima ufahamu kuwa lugha ni sehemu muhimu wa UTAMADUNI wa watu. Na Utamaduni mmoja...
Zed123 ninakuona sana humu lakini nashangaa hutaki nijibu maswali yangu. Pengine ili nikutafute kwa undani zaidi nahitaji kufahamu:
Wewe ni mtu wa kabila gani?
Wewe ni wa Mkoa gani?
Ulisema una watoto, ni wangapi?
Ila swali la mwisho nimefanya kama kuliongeza tu!!!
Tumezidi kubembelezana huku tukizidi kutopea topeni. Dalili za kukwamuka zinapojitokeza hatutakubali kelele zenu kwa mgongo wa demokrasia. You have exercised democracy for a couple of decades with zero change! Let's now try undava! Hutaki hama nchi!!!
Watanganyika tuacheni UVIVU na fikra mgando. Hivi hata kujenga choo cha Shule tunangoja ufadhili?! Yaani nchi hii kusema kweli ni Sheddah! Wananchi kwa nguvu zetu tunashindwa kuchimba shimo na kutengeneza choo kwa ajili ya watoto wetu? Uvivu! Uvivu! Uvivu! Hata huyu huyu anayetoa lawama kwa...
Rwanda, Uganda and Kenya are all jealous of our virgin land and nothing more! Let them inaugurate their own federation. We can live without them but I know it costs too much when they think of life without Tanzania!!
Umeandika Kwa hisia sana Mchange. Wasi wasi wangu ni mmoja tu kwamba utawaziba vipi mdomo wenye akili wasijesema wazi wazi kuwa hisia hizo zinatokana na hasira zako za kufukuzwa toka CDM. Halafu mtu makini anaweza kujihoji: 'Kwa nini hukuonesha ujasiri na ufurukutwa huu wakati ule?' Tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.