Possibility kubwa, inawezekana anakupima tu akili ili ajue km unampenda kwa dhati. Chukua muda, utulie, jitahidi kuwa karibu naye ila usijihusishe naye kimapenzi,baada ya kitambo hali mliyokuwa nayo kwa ss itapita, hapo utachukua maamuzi yanayofaa km kw rafiki wa kawaida na kutafuta mpenzi au...
Ndio inawezekana kabisa, kujiajiri kulingana na taaluma yako. Mfano, mwalimu unaweza kuanzisha tuition centre, mhasibu unaweza kuanzisha consultancy firm, kutengeneza financial statements na financial consultation ya kampuni ndogo ndogo, mhandisi inategemea ni muhandisi wa nn, kwa mfano mhandisi...
Kwa kweli kuoga yapendeza afu inawapa nguvu mpyaaaa! Aisee mkishamaliza shughuli afu msioge naona kinyaaaaaaa! Ila kasheshe kwa wasiojua game, imagine mtu dkk 3 tu anamwaga, si atashinda kwenye maji km samaki!
Mimi ni mwanamke kwa upande wangu kabla hatujaoana sikupenda kabisa hy mambo ambayo mchumba wako anakufanyia! Ina maana yeye huwa anampigia nani km unampa vocha na bado anakubip? Wanawake wa staili hii ni hatari sn, hata mliwa kwenye ndoa, usitegeemee mshahara wake kusaidi mahitaji hom...
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.
Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu...
Ikimbie zinaa hiyo! Akikufuata tena mpe ushauri km kweli wana tatizo katika ndoa yao waende kwa wataalamu,usipokee zawadi zake tena, mshirikishe mchumba wako atakutetea siku shemeji akikugeuka,jaribu kuongea na kakako kijanja km soga za kijiweni asiwe busy sn na kazi akasahau ndoa km huwezi...
Nampenda h/g wangu kwani ndio anabaki na mwanangu nikienda kazini, aliomba kuongezewa mshahara mwanzoni mwa mwaka huu, nikampa kiasi anachotaka. Mshahara huwa nampa pale anapohitaji manake anaogopa kukaa nao mwenyewe kwa hofu ya kumissuse, itabidi nikopi hapo pa kumfungulia account hata km ni ya...
Aliyekwambia uwe unanunua magazeti ni nani!? Chukua maujanja kwa wazoefu kama sisi, ngoja nilueleze inakuaje.....
"Tafuta kijiwe cha magazeti kairbu cha kwenu, kajenge kaurafiki na muuza magazeti, then unaendazako na mia mbili unapata nafasi ya kupitia magazeti yote..........mapema kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.