Habari wakuu, samahani naomba msaada nina subaru impreza ya 2008 cc1490, 70,000km. Kwenye dashboard inaonyesha ulaji wa mafuta ni 8.6km/l na pia nikicalculate manually range inaangukia kwenye 8 kwa safari za mjini na highway, lakini wadau wenye haya magari wanasema ni 10km/l kwa mjini na...
habari zenu wana forum, natumai m wazima.
naomben mnipe mwanga kidogo.
mke wangu mpaka sasa ana siku 15 hajapata hedhi, ameenda kupima mimba akaambiwa vipimo vinaonyesha hana ujauzito. nini tatizo hapo wakuu?
Habari zenu wana jukwaa,
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, naomba mwenye uelewa anisaidie. Nina PC nikiingia internet niki scroll page ina stack kama sekunde 10 ndio ina move up. Naomba mwenye ujuzi kwani nachukua muda sana kusoma habari zilizopo kwenye internet.
Natanguliza shukrani
habari zenu wakuu. natumai nyote ni wazima.
Nina tatizo kwenye simu yangu aina ya DITEL nikiiwasha inawaka lakin screen haionyeshi chochote.kinachoonekana ni mwanga kwa mbali. lakin nikigusa screen ninasikia kabisa ikisense.naomben mwenye ujuz anisaidie hakuna nilichokifanya ni simu imebadilika...
habari zenu wakuu.kwa yeyote ambaye anajua kituo au mtu yeyote anayefundisha course ya accounting packages kwa arusha mjini naomba tuwasiliane. 0655963543. natanguliza shukrani kwenu
Natumai mu wazima wa afya.
Tatizo lipo kwenye keyboard ya PC Nikibonyeza H ina type Y, na pia nikibonyeza Y ina type Y na namba zingine pia zina jam.
H =Y
Y=Y
1=Q
Tatizo lipo wap wakubwa ?
Asanteni
habari zenu wakuu, tatizo limetokea kwenye pc. nikiingiza password.unakuja ujumbe huu " THE USER PROFILE SERVICE FAILED THE LOGON. USER PROFILE CANNOT BE LOADED" nisaidien ndugu zangu.natanguliza shukrani
wakuu habari zenu,poleni na majukumu
naomba kwa yeyote anayejua kituo kinachofundishia accounting package Arusha- Arusha mjini.
au kwa mwalimu yeyote anayefundisha hizo packages.
asanteni
Chief, Richnigga, cc12, Gwangambo, Ombenichelsea, Chebi, Natokahapa, Adimu. nawashukuru sana kwa msaada wenu mzidi kubarikiwa. hatimae pc imerudi kwenye hali yake. baada ya ku install setup ya cc12.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.