Watafanya nn jamani na wanataka kuishi vizuri mjin? Yani hao jamaa kila kitu wanajua wao na wanacho amini wao ndo wanataka watu wote tukikubali, kwao wao jd ni mbaya basi na ss wote tukubali hvyo
chama sio mchezo jamani, Zito sianauhakika anawafuasi WA kutosha atoke akaanzishe chake ili atimize ndoto zake mana hizo ni ndoto tu anazotaka kutimiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.