nao mkuu wamezidi tangu walipoambiwa wazuri basi imekuwa tatizo,sasa wanatamani hat kwenda kanisani waende uchi,kwani kuwa superstar ni lzm uonyeshe nyeti zako?na hiyo concept wanayo sana basata ya kwamba superstar wa kike bila kuwa uchi bd hakijaeleweka sasa wanaloloma nini
dada zetu wanaiga tabia za kimagharibi,lkn wanaiga visivyoigika.kwa nini wasiige mbinu za kupata hela ili kujikwamua kimaisha waachane na biashara ya kujiuza,shame on them........
hivi wanajamii wenzangu pesa hizo kama zingekuwa kwenye mabenki yetu ya hapa tanzania si tungeweza hata kukopeshwa sisi tukajikwamua na umaskini huu,sasa kule walikoziweka zinafanya kazi gani? Wawe na huruma na sisi watanzania wenzao maskini..........
kama ni kweli jogoo lake haliwiki basi amshukuru mungu,make cdhani kama angenusurika na hilo gonjwa,hv hy papaa msofe ana uraia wa wapi watanzania tuwe macho na watu kama hao wanafanya ujambazi kwenye nchi zao wanakimbilia kwetu tuwe makini kwa hilo
kama ni kweli jogoo lake haliwiki basi amshukuru mungu,make cdhani kama angenusurika na hilo gonjwa,hv hy papaa msofe ana uraia wa wapi watanzania tuwe macho na watu kama hao wanafanya ujambazi kwenye nchi zao wanakimbilia kwetu tuwe makini kwa hilo
jiji la dar halitakaa liwe safi hata sikumoja,ukiangalia ujengaji nyumba huko uswahilini ni balaa kwelikweli labda mipango miji waingilie kati,yaani utakuta mtu nyumba yake upande wa sebuleni kwa jirani yake ndio choo tena cha shimo,sehemu nyingine unakuta jirani yako ambaye yuko karibu na...
jiji la dar halitakaa liwe safi hata sikumoja,ukiangalia ujengaji nyumba huko uswahilini ni balaa kwelikweli labda mipango miji waingilie kati,yaani utakuta mtu nyumba yake upande wa sebuleni kwa jirani yake ndio choo tena cha shimo,sehemu nyingine unakuta jirani yako ambaye yuko karibu na...
sasa imekuwa kama misemo mbalimbali ya kiswahili ndio ya kujitetea pale tunapokuwa tumebanwa,lkn tubadilike twende na wakati hizo zama zimeshapita,tusijejikuta tunaishia kubaya.Mungu ibariki tanzania
Hapa bwana tunajivunia kuitwa watanzania,tunajivumilia pia kuitwa wadanganyika kwa sababu tumeshadanganywa mengi especially na hao wabunge wetu a.k.a wazee wa posho,kila ahadi nyiiiingi maendeleo hkn,halafu wanasema maisha bora kwa kila mtanzania wizi mtupu......
yaani mkuu hapo tikienda kwenye haki kabisa anayestahili kurudishwa kwenye bbaraza ni mmoja tu naye ni dr pombe magufuli,lkn baba mwanaasha ninavyomjua mabest zake mhhh lzm atawapa kipaumbele,ukizingati mambo fulani ya ulaji......
wapendwa wanajf wote poleni mihangaiko ya huku na kule ya kutwa nzima,ktk kutafuta kariziki.sharehe sabasaba mwaka uliopita zllipendeza kwa kweli tuliienjoy hasa kwenye mabanda mbalimbali ya maonyesho kwa bidhaa,mbuga za wanyama pia shushuli mbalimbali kiofisi zinavyoendeshwa.basi juzi ktk...
wapendwa wanajf wote poleni mihangaiko ya huku na kule ya kutwa nzima,ktk kutafuta kariziki.sharehe sabasaba mwaka uliopita zllipendeza kwa kweli tuliienjoy hasa kwenye mabanda mbalimbali ya maonyesho kwa bidhaa,mbuga za wanyama pia shushuli mbalimbali kiofisi zinavyoendeshwa.basi juzi ktk...
sasa nimeendalea kupata mwanga kwa nini kwanini baba riz kaweka washikaji zake kwenye nafasi mbalimbali za uongozi,hy ni sababu wapate ulaji kwa urahisi.watu wamejenga kwenye open space mkuu kakaa kimya tuu,raia wananyang'anywa ardhi na kupewa wageni baba riz anatabasamu tu,watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.