Kumejaa wajinga kweli hili lipo wazi kabisa!
Mfano huwezi jenga 4 lanes tunduma na msongamano ule!
Ila licha ya ujinga wao hawakufikii hata tone wewe ni zezeta.
Hakuna mtu ambaye hapendi barabara nzuri za kisasa 6 lanes mpaka 14 lanes huko zilizo na interchanges/flyovers za kisasa etc.
Swali ni je kuna uhitaji sehemu husika au unataka mabillion ya fedha yachomwe kisa beautification wewe zezeta.
Unajielewa kweli wewe??? Sehemu pakiwa na uhitaji flyover/interchange/overpass wherever lazima ijengwe bila kujali gharama na ndo hivyo serikali inafanya.
Sasa wewe unataka watu wajenge- jenge tu bila uhitaji???
Wewe ni zezeta narudia zezeta[emoji23][emoji23][emoji23] Akili huna!
Miundombinu inajengwa kwasababu ya uhitaji na katika kujengwa huko kwasababu ya uhitaji ndiyo watazingatia beautification.
Huwez kujenga miundombinu out of nowhere ukilenga beautification na hamna uhitaji.
Damn people are...
unadhani hawa wanaakili?? Mtu anaokota picha anasema kisumu!! Mwingine anataka mabillion ya fedha yajenge flyover sehemu ambayo hamna uhitaji ili kufanya beautification[emoji53][emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimekwambia akili huna wewe( zezeta)
Hiyo ring road inajengwa strategically kupunguza congestion katikati ya jiji la dodoma ambalo linakua kwa kasi! Kwa hiyo uhitaji upo[emoji664].
Yaani wewe akili huna kabisa nasema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe huna akili hata kidogo(zezeta) Tuanze kwanza interchange/ flyover wherever inajengwa kupendezesha mji au kwaajili ya uhitaji??
Pili Unajua maana ya interchange au unaisikiaga tu kwenye taarifa ya habari??
Hivi viflyover vya kupanga matofali ambavyo vipo hapo kenya ni afadhali zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.