Habari wakuu!
Kwa yoyote anaejua,naomba kujuzwa,Cameroon Embassy ipo eneo gani Dar es salaam(location).
Kama una details zaidi,kuhusu visa fees,requirements...itanisaidia zaidi!shukrani[emoji122][emoji122][emoji122]
Nimejitahidi ku - Google lakini hakuna information zozote zilizonisaidia...
Habari za hapa wakuu,
Ni miaka minne sasa tangu nimemaliza elimu yangu ya chuo na sijawahi kufanikiwa kupata ajira ukizingatia hali halisi ilivyo sasahivi kuhusu soko la ajira!
Wapo wanaonishangaa kuwa kwa hii course ya Marketing inakuaje sijafanikiwa kupata kazi mpaka leo hii wakidai kuwa ni...
I salute u all!!!?
back to topic
jamani leo nilikua busy na babe wangu kwa muda, hatukutaka usumbufu kwa namna moja au nyinngine, ukizingatia leo cku yake muhim ya kumbukumbu ya kuzaliwa.
mmu members hatujawaacha nyuma.karibuni kesho ndo party
happy bday Mokoyo
Yaani siamini kama nimependa tena jamani, i real love him to the extent siwezi elezea tatizo langu nitatokaje hapa.
I have tried but nashindwa, najikuta naumia coz i know he is not there for me nishapungua 1kg jamani coz nashindwa hata kula vizuri.
NB: he is just a friend.
Hodi, habari wanajamvi!!
Naomba msaada juu ya hili! Rafiki yangu ana tatizo la kutoka majimaji (yaani sio jasho la kawaida)mikononi na miguuni tu!
Kiasi kwamba hata akilala anatumia feni (Note, anaishi kusini)na mikononi hawezi hata kukushika dakika moja kashalowa!
Tatizo ni nini,au ni ugonjwa?
habari wana jf......nimebahatika kuitwa kwenye interview ya bank,naomba ushauri kwa wazoefu general qns ni zipi?note:cjawahi attend interview yoyote,taaluma yangu ni marketing.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.