Another piece of dirty CCM propagandist rhetoric! Agree or not, Lowassa is the coming President and Commander in Chief. It is the Peoples Power that is going to remove the junk CCM rule.
Alikuwa akilinda heshima ya serikali ya rafiki yake! Hata kina Mwakyembe walisema baadhi ya ukweli uliokuwa kwenye uchunguzi ule ulihifadhiwa maana kama ungeanikwa ungesababisha serikali nzima kianguka! Umesahau?
Bila shaka kapata bwana wa kumkuna kule na hana kazi ya kufanya hapa Dar ni bora akafanye umalaya. Tundu Lisu si wa kushindana na mawakala wa genge la vibakauchumi hao toka CCM.
Siyo kazi yetu kumwambia Mbowe kama mlimkopesha ni yenu na mnatakiwa kushtakiwa na kuwajibishwa kwa maamuzi ya kijinga iwe mmemkopesha Mbowe, Lipumba Mbatia na hata Pinda!
Serikali ipi? Hii hii ya wala rushwa au nyingine? Kwa hii serikali yetu "sikivu" ufuatiliaji wa hii kesi utawanufaisha wala rushwa hawa na kuwaacha wazazi solemba! Wakirudi tunaweza ambiwa aliteleza kwenye ngazi akafa! Kwa kifupi waarabu wana kiburi, dharau, wabaguzi wa kutupwa hata kwa waislamu...
Rushwa nyingine mnazohongwa na jambazi hili zinawadhalilisha. Ona sasa umeandika maneno kibao ambayo hayahitaji akili ya juu sana kujua ni ya kishabiki au ya kupotosha. Haya, tutajie hicho kikao cha waliokuwa Tume ya Richmond wrote kilichoazimia eti Lowassa hana hatia na "wanamsapoti" kilikuwa...
Tatizo jingine linaloweza kuua kabisa thamani ya sarafu yetu ni ufisadi uliopindukia. Si vigumu kujua kwamba ukimwaga hela yetu ya madafu mitaani kwa mabilioni kadhaa thamani ya fedha itashuka, thamani ya fedha za kigeni zitapanda na maisha kuongezeka ugumu. Hebu tafakari ni mara ngapi kumetokea...
Ni mlaanifu; mtumwa wa shetani tena Lucifer! Yesu alisema mwenye kujikweza atashushwa! Asubiri kuteremshwa! Hana adabu kusema aliyosema hata kama Pengo alikosea. Pengo ni mkubwa kwake kwa kila hali, ki umri, kiakili, kielimu na busara! Lile sakata lake na Mbasha liliisha?
Mi pia siafiki kuwaua watuhumiwa lakini tatizo ni vyombo vinavyosimamia kutoa haki ikiwa ni pamoja na Polisi na Mahakama zinazowakatisha watu tamaa kwa kuwageuza wahalifu na waathirika miradi ya kujitajirishia! Mhalifu anakamatwa na vielelezo vyoote akishafikishwa Polisi anatoa rushwa na...
To whom is this information important? Tanzania?
I don't know your nationality but it's never reasonable to reveal such classified information to the public. I log off.
Kwa kuanzia tu hakuna kozi kama hiyo katika JWTZ labda kama ulikuwa unamaanisha Officer Cadet.
Hicho ndiyo cheo cha kwanza kabisa katika Jeshi lolote ikiwa ni pamoja na JWTZ letu ila ni cheo anachopewa mwanafunzi wa ngazi ya uafisa ambacho ni cha juu kuliko vyeo vyote visivyo vya kamisheni...
There's a trending tweet that on the presence of one confirmed Ebola case in Bukoba. Can authoritative members within our JF authenticate this information?
" A tweet from one marwaj7: reads"A confirmed Ebola patient is quarantined at Mugana Hosp in Kagera region. Gov.Must act to contain...
Hiyo ndiyo propaganda mliyojifunza uchina, Korea au Afganistan? Ndiyo hiyo ya Oooh "tumepata asilimia 80 katika chaguzi za serikali za mitaa" wakati watanzania si wajinga kama mlivyo, wamejionea wenyewe tokea Ruvuma hadi Bukoba, Mara, hadi Kilimanjaro hakuna kijiji ambacho CCM hamjaandika...
Bila shaka wewe ni Mtani wetu wa jadi! Asanteni kwa kutupiga madongo lakini kumbuka Dar siku hizi Wasukuma, Wanyamwezi, Wasumbwa na watwana wengine wako kibao! Waliokimbiakimbia majuzi ni Wasukuma na Wanyamwezi wenyewe tumestarehe Kimanzichana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.