Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4.
Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km.
Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hada ukiwa na watu. labda uwashushe ndio uendelee na ni mwinuko mdogo tu.
Nimejaribu kuuliza mafundi mbalimbali sijapata jibu...
Nataka kununua hii gari Kwa mtu used. Imewekewa injini ya rav 4. Naomba ushauri Changamoto ya hizi gari na hasa baada ya kuwekewa injini ya rav 4.
Upatikanaji wa spare, Changamoto zake n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.