Search results

  1. B

    Msaada voxy engine 1az fse inakula mafuta balaa. 1 litre per 3km

    Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4. Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km. Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hada ukiwa na watu. labda uwashushe ndio uendelee na ni mwinuko mdogo tu. Nimejaribu kuuliza mafundi mbalimbali sijapata jibu...
  2. B

    Ni zipi changamoto Mitsubishi Chariot?

    Nataka kununua hii gari Kwa mtu used. Imewekewa injini ya rav 4. Naomba ushauri Changamoto ya hizi gari na hasa baada ya kuwekewa injini ya rav 4. Upatikanaji wa spare, Changamoto zake n.k
Back
Top Bottom