Uwajibikaji ni neno pana hasa pale unapoangalia upande wa utendaji wake Kwa haki madhubuti kwani serikali italaumiwa hasa pale itakapokuwa na mfumo mbovu wa utawala Kwa wananchi wake, mfano; ajira Kwa vijana hutangazwa nafasi zile za kawaida sector ndogo ndogo lakini sector kubwa kama Uchukuzi...
Yapata kama miaka mitano hapo nyuma baada ya Kijana mmoja jasiri, mkakamavu, shupavu na mwenye bidii katika maisha ya Kila siku aliyejulikana Kwa jina la Kunze kupitia changamoto ya ubaguzi wa kitabaka kwani alikuwa Mwenyeji wa Bara. kijana huyo baada ya kufikia hatua ya masomo ya elimu ya juu...
Hapo mwanzo kipindi bado nakaa kijijini nilitamani sana siku nikimaliza elimu yangu ya sekondary basi nikasomee elimu ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwani mama yangu Rebeka Kilomba, alinisisitiza nisome Sana na kwa bidii. Kweli sikukata tamaa katka masomo yangu ya sekondary.
Mungu si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.