Naomba kueleweshwa ule mradi wa vitambulisho vya utaifa utafanyaje kazi?
Je kutakuwa na central computerized database? na kama utakuwa hivyo utafanyaje kazi wakati kuna wazalendo kibao wanaotumia eidha vyeti vya magumash au majina ya watu wengine?. Ninachojua km taarifa za watu wawili...
:A S 465:Hii kitu inaelezewa kwa maelezo mepesi na kutufanya tuamini ni kitu rahisi kisicho na gharama. Baadhi tunaweza kukubaliana na maelezo hayo kwa sababu ni kitu kigeni na bado mfumo wenyewe haujaanza kufanya kazi. Walio wengi hatuelewi the whole set up.
Ila inavoonekana kwa namna yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.