Jana tar 22-07-2012 kanisa la Full Gospel Bible Fellowship linaloongozwa na Askofu Zachary Kakobe limefungua rasmi tovuti zake kama njia mpya ya kueneza neno la Mungu. Sasa unaweza kupata taarifa za kina kupitia: www.fgbfchurch.org
Pia kwa kupitia youtube unaweza kutazama vipindi tofauti...
SASA KAMA MNASINGIZIA BAR NA MAKANISA. Nani anakunywa hizo pombe? Kama siyo ninyi wenyewe? Vinginevyo bar sizingefungwa kwa kukosa wateja? Acheni visingizio visivyo na mashiko tumieni hoja za maana kudai haki zenu. Mimi pia siungi mkono muungano kwa kuwa sioni faida zake. Mimi ni mtanganyika...
Binafsi muungano sihuitaji kwasababu sioni faida yake na wanaojua faida zake hawataki kuzisema jambo linalonipa shaka kama kweli una manufaa kwa wananchi wa kawaida.
Maisha magumu ndo yatakayo badilisha fikra za watu hili mwaka 2015 tutakapopata fursa ya kupiga kura watu wajue umuhimu wa kupiga kura na thamani ya kura zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.