Haha haha ARV asante kwa kunikumbusha, kumbe tunatakiwa kutoa zawadi, tatizo linakuja siku hizi watu zawadi wanatoa vikombe vijiko, wamejitahiiidi saaaaaana basi wanakupa oven, nani akupe kiwanja!!!!
Kukopa wakati huna uwezo wa kulipa.... Uliwaza nnini???
Kuvaa kata k aka mlegezo wakati chupi chafu..... Uliwaza nini???
Kula kavu kavu wakati unajua anaumwa ngoma.... Uliwaza nini???
Kupanda daladala wakati unajua huna nauli..... Uliwaza nini???
Kuwanunulia bia na kujifanya unazo wakati...
Wana jamvi mimi binafsi napenda kutumia fursa hii KUMSHUKURU huyu Mzizi mkavu, kwa kweli amekuwa ni msaada sana kwa ss wana jamvi tulioleta matatizo yetu humu. Shukurani sana mkuu Mungu akuzidishie hekima na busara na maisha marefu ili tuendelee kupata msaada wako. Aksante
Hapo zamani kwenda na mfuko wa rambo shuleni ilikuwa kawaida
Hapo zamani kulamba makamasi ilikuwa kawaida saaaana
Hapo zamani kuokota hela ilikuwa kawaida sana, siku hizi hata hela ya bandia kuokota ni kazi kweli kweli
Hapo zamani kusingizia unaumwa ili usiende shule ilikuwa kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.