wakuu waraka huu nilipata bahati ya kuusoma kipindi kile cha RAI NGUVU YA HOJA. nimeurudia tena hapa naukuta bado upo na ladha ukakasi wake ule ule kama ile umeandikwa leo.nakumbuka pia stanley kamana R.I.P alivyochambua utandawazi akimkumbusha BWM kwamba tumeuvulia nguo utandawazi ni lazima...
sitaki kuamini kuwa benson hajui kazi malengo ya chama chochote cha siasa. vinginevyo nabaki kuamini kuwa analinda ugali wake. Tendwa naye eti anasema CHADEMA wasichukue fedha za ruzuku,acha niamini kuwa kweli Tendwa kazeeka anastahili kupumzika kwa heshima japo hii kidogo alobakiwa nayo...
kweli serikali yetu ni sikivu.basi likitoka boko maana yake ni bagamoyo msata arusha. je mimi wa mailimoja kibaha siku naenda arusha maana yake nikalale tegeta kama sio bunju kabisa. si ndo mnamanisha hiyo au sijelew vizuri?????
Mimi nadhani tatizo hasa linatokana na kile kinachoitwa general order za polisi zinazomtaka askari kutii amri bila kuhoji uhaklali au ubatili wa amri. mfimo huu ambao umeridhiwa toka kwa mwingereza umepitwa na wakati.mfumo mbovu unaogandamiza uhuru na haki za kiraia kwenye nchi huru. bila...
mkuu nipo kongowe kibaha pwani simenti 15000 nondo 10 mm 17000!! yeye na aseme kama ni bei ya kiwanda ya leo.then ni lipi la kulipigia vigelele si ndo yeye alotufikisha huko??????
mkuu mpaka hapo tu tayari mwigulu hatashiriki maana yeye anaamini na anawaaminisha wapiga kurawake kuwa ccm na serikali yake imewaletea maendeleo. kama dondoo zakikao ndo hizo basi mwigulu hamtampata na mkimpata mjue atawavuruga hadi msijadili mlokusudia. VINGINEVYO WAZO NI ZURI NAMI NAWATAKIA...
hali ya hewa hapa ubungo kuna mvua ya kiasi. imenenwa.........MWEREVU AKIJA HAWEZIJUA MPUMBAVU NI YUPI. tafadhali msiikaribie BAN maana naiona ipo njia imejitundika yasubiri kumdondokea mtu oooooooh!!!!!!!!!!! Mimi sipo
na kama wasemakweli wote ni wanachama wa CHADEMA BASI CHADEMA INA WANACHAMA MAKINI MNO NA S SITA INABIDI AJIPANGE UPYA KWENYE MAELEZO YAKE YA AWALI KWELI ITABAKIA KUEWA KWELI HATA KAMA HUIPENDI LEO KESHO BADO ITAENDELEA KUWA KWELI ILIYO KWELI.
pamoia na maelezo na utetezi wa hii kitu binasi sioni weledi wa kuchagua mkono na kidole. tunaaminishwa NDOA NI BARAKA YA MUNGU ALOKIFUNGA MUNGU HAKUNA WA KUKITENGANISHA. Nakubaliana mia kwa mia juu ya hoja hiyo.kinachonitanza ni KWANINI IWE MKONO WA KUSHOTO UPEWE HADHI HIYO???KWANI KAZI...
NAPENDA KULIARIFU BUNGAE LAKO TUKUFU SERIKALI IMEPATA USHAURI WA KUVUNJA MKATABA HUU TOKA KWA KAMPUNI YA KISHERIA ILIYOBOBEA KWENYE MIKATABA YA KIMATAIFA. Hiyo ni kauli nzito toka mh waziri mkuu akilihakikishia bunge na taifa kwa ujumla. REX ndo iliishauri serikali kuvunja mkataba wakalipwa...
dose ya kawaida kulingana na ugumu wa maisha ni asubuhi mchana na usiku. aliyepewa dose mchana je usiku nikimpima hiyo smaterphone yenu itagundua hivyo virusi au ndo kuongopewa maana hawaoni tukipungua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.