Ndugu ya Lengeju siwezi kuwa muathirika wa kutoajiri hapo. Nina kazi nzuri tena kwenye shirika kubwa la kimataifa na nina miaka chache kustaafu na maisha mazuri. Rudi changia mada au wameshakupa mshahara?Halafu una dalili kwamba unakuja ID tofauti.
Hakika nimeumia sana sana kutokana na msiba huu mzito. Tangu nimepata taarifa hiyo nimeshindwa kurejea katika hali yangu ya kawaida kabisa. Hali kama hii ilishanitokea miaka michache iliyopita baada ya kufiwa na baba mzazi lakini haikunimiza kiasi hiki. Kila ninapokumbuka au nikisikia watu...
Manyerere asante kwa taarifa zako, nimeanza kufunguka kuhusu Loliondo, lakini naomba uweke kitu kimoja wazi, ni NGOs zipi hizo zinamilikiwa na wakenya? Kama kweli zipo ni hatari.Asante kwa ushauri pia, ni kweli tujibizane kwa hoja tuepuke jazba na matuzi.
Kwa yoyote mwenye updates atupie hapa, ni kuhusu kile kilichoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kwamba mbuge na madiwani watajiuzu endepo serikali itatoa tamko la kutenga eneo ya ardhi ya vijiji na kufanya pori tengefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.