vijana pesa hawana wakija humu mtandaoni ni kulia lia tu hawataki kutafuta pesa sisi ngoja tuendelee kuwasaidia majukumu kwa wapenzi wao [emoji16][emoji16]
kijana sio upuuzi wewe utakuwa na changamoto moja wapo kati ya hizi itakuwa pesa huna au nguvu hamna kwaiyo ukikutana na mada kama hizi unaumia sana moyo
Hii ni pisi moja matata kweli kweli kwanza kujibu DM sio jambo rahisi sababu kama mnavyojua pisi kali instagram huwa hazijibu dm kirahisi rahisi sabab ya usumbufu wanaoupata kutoka kwa washkaji lakini ukiwa na kibunda kazi inakuwa nyepesi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.