Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu
Nina audi a4 nisaidieni garage naweza kubadili transmission fluid
yaani oil ya gearbox na service kwa ujumla
Natanguliza Shukrani
Nauliza na kuomba ushauri
Gari aina ya Nisaan premere inakuwa na usumbufu upi
in terms of oil consumption na ubora wake kwa ujumla
Je Vockswagen POLO ikoje kwa matumizi ya hapa kwetu misele ya mjini
pia kuhusu mafuta
Naomba nisishauriwe kuhusu TOYOTA.
Kifaa hiki kinatafutwa wapi kitapatikana mwenye info ani pm donge nono kwa atakaye fanikisha
​
50 BMG BARRETT SNIPER RIFLE
risasi hizi 14.5×114mm cartridge.
Hi
Jamani mi natafuta binti just for pleasure labda mambo mengine baadae
alie tayari ani pm
tuwasiliane lakini asizidi 27years
looking forward for ur response.
Mimi niko wastani tu.
Wakuu natafuta chumba cha kupanga katika maeneo ya k/koo, upanga, ilala au mabibo aliyo na taarifa anitaarifu kwa ku PM au e-mail yangu hapa
hapa
Waheshimiwa ni urgent kweli kweli.
Hata kikiwa chumba kimoja sawa suala pawe na na choo au kiwe self container.
msaada waheshimiwa.
Katika Khali isiyo ya kawaida katika nchi yetu kuna hii kitu Ufisadi, Rushwa na mengineyo yanayo rudisha maendeleo nyuma, si kwamba nchi yetu ni maskini au watu ni maskini la hasha ila kuna watu wachache waliotujengea msingi mmbovu wa kutufanya sisi kuendelea kuitwa nchi maskini duniani, natoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.