Wife alipokuwa mjamzito aliniomba tukapime VVU. Nilimchenga chenga kidogo lakini hatimaye niliamua kwenda nje ya mji kupima peke yangu kabla sijaambatana nae. Baada ya counseling ya docta alinielekeza chumba cha kupimia. Nilipoingia ndani nilikutana na mtu wa vipimo ambaye ni rafiki na mke wangu...
Siku hizi hakuna porojo na bla bla - straight to the point...... anty nimekumind inawezekana twende kama haiwezekani basi chukua time..... Hakuna muda wa kupoteza wamejaa hapo kona baa
Kwa Tz ni vigumu rushwa kubwa za aina hiyo kukamatwa - watendaji wakuu vyombo vya dola wamekuwa wakihusishwa katika migao hiyo. Virushwa vidogo dogo vinavyowahusisha walala hoi ndio vimekuwa vikifuatiliwa na kuripotiwa- Rushwa kubwa zinazoyumbisha uchumi wa nchi zinalindwa kwa nguvu zote.
Huyu Musa Mkanga ni kada wa CCM - alishawahi kuwa Diwani kata ya Sombetini - Arusha akapata kashfa ya kuuza kiwanja cha Kilombero Sokoni kwa waarabu fulani yeye pamoja na wenzake wa CCM. Hiyo kashfa ilipelekea kufukuzwa CCM. Baadae nilisikia alirudishwa kundini. He is very ambitious on money...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.