Leo TRL wameahirisha Safari ya garimoshi liendalo Kigoma na mwanza "kwa sababu zisizozuilika" sawa lakini je namba za simu za wasafiri watarajiwa mnazochukua wakati wa kukata tikiti nini matumizi yake? Nilitarajia ni wakati Kama huo ambapo Safari inaahirishwa!
Ndugu Ishmael nikuulize swali dogo tu kisha Majibu utajipa mwenyewe. Hivi hujui kuwa Islam ni neno la kiaarabu? Na zaburi au torati na hata injili havikuja kwa lugha hiyo? Think twice.
Hivi kwako wewe injili na biblia ni sawa sawa? Qur'an inatambua injili, zaburi na torati lakini sio biblia. Je vitabu hivyo vipo? Au kuna biblia ambayo imejaa maelezo ya waandishi na baadhi ya maneno yaliyo katika vitabu hivyo? Hivi injili halisi ya Yesu au Zaburi au Torati katika lugha yake ya...
"...........kufukia dimbwi lililosababisha kifo cha mtoto huo ili kuficha ushahidi wa tukio hilo"
Amani inahubiriwa kwa maneno sio kwa vitendo. Hata hivyo Mkuu ungefafanua vizuri chanzo cha kifo cha huyo mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.